Afya

Chombo maalum ithibati huduma za afya kitadhibiti ubora

DAR ES SALAAM: Wizara ya Afya imeeleza umuhimu wa kuwa na chombo huru kitakachokuwa na jukumu la kutoa ithibati na…

Soma Zaidi »

Vipaumbele 3 vyajadiliwa afya ushirikiano Uingereza na serikali

DAR ES SALAAM: WATAALAMU wa Afya kutoka Tanzania na Uingereza leo wamekutana jijini Dar es Salaam kujadili vipaumbele vitatu vya…

Soma Zaidi »

Waziri Ummy anogesha Kampeni Holela-Holela Itakukosti

DODOMA. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, amekutana na kufanya mazungumzo na KIDO, ambaye ni Balozi wa Kampeni ya Holela-Holela itakukosti.…

Soma Zaidi »

Temeke waanza huduma usafishaji damu

DAR ES SALAAM ;Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke(TRRH),  imeanza rasmi kutoa huduma za usafishaji damu (dialysis) leo Juni 14,…

Soma Zaidi »

Madaktari wasisitiza miguu vifundo, matege yanatibika

MOROGORO; CHAMA cha Madaktari Bingwa wa Mifupa Tanzania (TOA), kimetoa wito kwa jamii yenye watoto wenye matatizo ya viungo na…

Soma Zaidi »

Prof. Makubi bosi mpya Benjamini Mkapa

SEOUL, KOREA: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Abel Makubi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamini Mkapa iliyopo mkoani…

Soma Zaidi »

NHIF yabaini wanachama hewa zaidi 100 Tanga

TANGA: MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga umebaini uwepo wa wanachama hewa wasio halali zaidi 130…

Soma Zaidi »

Tanzania, taasisi Uswis kushirikiana kutokomeza magojwa

GENEVA: Serikali ya Tanzania na Taasisi ya Global Fund zitaendelea kushirikiana katika vipaumbele vya Serikali vinavyolenga kutokomeza magonjwa ya Ukimwi,…

Soma Zaidi »

Samia: Uzazi isiwe huzuni kwa familia

DAR ES SALAAM: RAIS Samia Suluhu Hassan amesema familia zinastahili kufurahi anapozaliwa mtoto badala ya kuhuzunika. Ameeleza hayo kupitia ukurasa…

Soma Zaidi »

Maabara ya JKCI yatangazwa ubora duniani

DAR ESSALAAM: MAABARA ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete(JKCI) imepata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012) ya kutambuka kama maabara…

Soma Zaidi »
Back to top button