Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Amani kipaumbele kwa wafanyabiashara ndogo

Amani kipaumbele kwa wafanyabiashara ndogo

DAR ES SALAAM: Amani na mshikamano wa kitaifa ni kipaumbele kikubwa kwa vijana wajasiriamali na wafanyabiashara ndogo, huku wakionya kwamba…
Ziara ya Balozi nchini Malawi yaibua fursa, kusisimua uwekezaji

Ziara ya Balozi nchini Malawi yaibua fursa, kusisimua uwekezaji

KATIKA mwambao wenye utulivu wa Ziwa Nyasa mkoani Ruvuma, eneo ambalo mara nyingi husimuliwa kwa mandhari yake ya kuvutia, rasilimali…
Dawa ya msongamano wa malori mpakani Tunduma ‘inazidi kuiva’

Dawa ya msongamano wa malori mpakani Tunduma ‘inazidi kuiva’

“TUNASHUKURU serikali imejitahidi kupitia vikao mbalimbali, wakiwemo wadau mbalimbali ambao ni madereva na matunda tunayaona. Luzicargo na tenki (malori ya…
‘Simamieni ushindani wa haki, msiumize walaji’

‘Simamieni ushindani wa haki, msiumize walaji’

DAR ES SALAAM; Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi, amelitaka Baraza la Ushindani (FCT) kuendelea kulinda na kusimamia…
Tanzania kuendelea kuuza mahindi Malawi

Tanzania kuendelea kuuza mahindi Malawi

TANZANIA imeihakikishia Malawi kuwa ipo tayari kuendelea kushirikiana katika biashara ya mahindi. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia…
Kampeni ACB kuwanufaisha Watanzania

Kampeni ACB kuwanufaisha Watanzania

DAR ES SALAAM: WATANZANIA watapata fursa ya kujishindia zawadi mbalimbali ambazo zitabadili maisha yao msimu huu wa sikukuu baada ya…
Diageo yauza hisa zote EABL kwa Asahi Group

Diageo yauza hisa zote EABL kwa Asahi Group

Nairobi, Kenya: Kampuni ya East African Breweries PLC (EABL) imetangaza kuwa kampuni ya Diageo imekubali kuuza hisa zake zote za…
Diplomasia ya uchumi kuitangaza Zanzibar

Diplomasia ya uchumi kuitangaza Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar ina fursa nyingi za kiuchumi,…
‘Wataalamu ununuzi, ugavi zingatieni Dira 2050’

‘Wataalamu ununuzi, ugavi zingatieni Dira 2050’

WIZARA ya Fedha imewataka wataalamu wa Ununuzi na Ugavi kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050…
Latra: Nauli ya Sh 1,000/- mwendokasi ni ya mpito

Latra: Nauli ya Sh 1,000/- mwendokasi ni ya mpito

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Habibu Suluo (pichani) amesema nauli ya Sh 1,000 inayotumika katika mabasi…
Back to top button