Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Kliniki ya viwango ya TBS yavutia wengi Dar

Kliniki ya viwango ya TBS yavutia wengi Dar

DAR ES SALAAM; SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeendelea kusogeza huduma na elimu kuhusu viwango, ubora na usalama wa bidhaa karibu…
‘Huduma upimaji bidhaa kuendelea kuimarishwa’

‘Huduma upimaji bidhaa kuendelea kuimarishwa’

MWANZA; Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,  amesema Serikali inaendelea kuimarisha huduma za upimaji nchini, huku ikiwa ni…
‘Serikali imeanza mchakato ujenzi wa meli mpya’

‘Serikali imeanza mchakato ujenzi wa meli mpya’

MTWARA; NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema serikali imeanza mchakato wa ujenzi wa meli mpya ya mizigo katika Bandari…
Sheria za Uchumi wa Buluu ziwe na viwango vya kimataifa

Sheria za Uchumi wa Buluu ziwe na viwango vya kimataifa

DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Kitengo cha Utatuzi wa Migogoro kwa Njia Mbadala kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Felix…
Vijana Kigoma wasifu mikopo ya halmashauri

Vijana Kigoma wasifu mikopo ya halmashauri

KIGOMA: Vijana mkoani Kigoma wamesema mikopo inayotolewa kupitia mapato ya ndani ya halmashauri imeleta mapinduzi makubwa katika shughuli zao za…
Chikota azungumzia faida kongani ya viwanda Maranje

Chikota azungumzia faida kongani ya viwanda Maranje

MTWARA: MBUNGE wa Jimbo la Nanyamba Mkoani Mtwara Abdallah Chikota amesema uwepo wa ujenzi wa kongani ya viwanda ya korosho…
Tanzania , Malawi kujizatiti uwekezaji

Tanzania , Malawi kujizatiti uwekezaji

DAR ES SALAAM: Tanzania na Malawi zimekubaliana kuongeza biashara na uwekezaji kati ya nchi hizo mbili kwa kuimarisha ushirikiano wa…
Tanzania yatumia teknolojia kukuza uchumi wa buluu

Tanzania yatumia teknolojia kukuza uchumi wa buluu

DAR ES SALAAM: SERIKALI imeendelea kuimarisha matumizi ya teknolojia za kidijitali, mifumo ya kisasa ya usimamizi wa bandari na biashara,…
Wizara ya Katiba na Sheria yapitia sheria kulinda uwekezaji

Wizara ya Katiba na Sheria yapitia sheria kulinda uwekezaji

DAR ES SALAAM: WIZARA ya Katiba na Sheria imeanza kupitia sheria mbalimbali za kisekta nchini ili kuhakikisha zinaendana na mahitaji…
Afrika ‘yaamshwa’ utoshelevu rasilimali za nishati

Afrika ‘yaamshwa’ utoshelevu rasilimali za nishati

ACCRA, GHANA: Mkuu wa Shughuli za Serikali nchini Ghana Dk Julius Debras ametoa wito kwa nchi za Afrika kuangalia kwa…
Back to top button