Fedha

Kampeni ACB kuwanufaisha Watanzania

DAR ES SALAAM: WATANZANIA watapata fursa ya kujishindia zawadi mbalimbali ambazo zitabadili maisha yao msimu huu wa sikukuu baada ya…

Soma Zaidi »

‘Wataalamu ununuzi, ugavi zingatieni Dira 2050’

WIZARA ya Fedha imewataka wataalamu wa Ununuzi na Ugavi kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050…

Soma Zaidi »

Kampuni ya Tanzania yaweka nguvu umeme jua Zambia

KAMPUNI ya Kitanzania, Amsons Group, imeingia makubaliano ya ushirikiano wa kimkakati na kampuni ya Exergy Africa Limited ya Zambia kujenga…

Soma Zaidi »

Msajili Hazina apanga kukusanya tril 2/-

OFISI ya Msajili wa Hazina imepanga kukusanya Sh trilioni mbili za gawio la mashirika ya umma kwa mwaka wa fedha…

Soma Zaidi »

Serikali yasisitiza ufanisi kwa Taasisi za Umma

SERIKALI imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa iwapo hayatachukua hatua…

Soma Zaidi »

Tuzo taarifa za hesabu zaongeza uwajibikaji

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Fedha, Laurent Luswetula, amesema kuwa Tuzo za Ubora wa Uandaaji wa Taarifa za Hesabu…

Soma Zaidi »

TPA yang’ara Tuzo za NBAA

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa kwanza wa tuzo ya umahiri katika uandaaji…

Soma Zaidi »

Azania yaja na mikopo nafuu kwa Watanzania

KATIKA kuendeleza juhudi za Serikali kuboresha maisha ya Watanzania, Benki ya Azania imezindua huduma mbili za mikopo zinazolenga kuwawezesha wanafunzi…

Soma Zaidi »

Gavana BoT awaasa wahitimu uadilifu, uzalendo

GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amewataka wahitimu wa Chuo cha Benki Kuu ya Tanzania kudumisha uadilifu,…

Soma Zaidi »

Baraza la Mawaziri (SCTIFI) wakutana Kenya

JAMHURI  ya Muungano wa Tanzania imeshiriki Mkutano wa 47 wa Baraza la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la…

Soma Zaidi »
Back to top button