Fedha

TRA yajidhatiti kuondoa makadirio kodi kandamizi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imejidhatiti kuondoa makadirio ya kodi yanayodaiwa kuwa kandamizi kwa wafanyabiashara ili kufikia adhma ya kuhamasisha…

Soma Zaidi »

Rais Samia kubariki Jukwaa la kodi na uwekezaji

ARUSHA; RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufungua jukwaa la kodi na uwekezaji mwaka huu, lililoandaliwa na Wizara ya Fedha kwa…

Soma Zaidi »

Mitambo 2 kuzalisha umeme kuwashwa JNHPP Machi

TANGA; Makamu wa Rais  Dk. Philip Mpango, amesema  mwezi Machi mwaka huu itawashwa mitambo miwili ya kuzalisha umeme katika Bwawa…

Soma Zaidi »

Mfumo TAUSI kuongeza uaminifu ukusanyaji kodi

MAMLAKA za Serikali za Mitaa zimeagizwa kutumia zaidi mfumo wa Ukusanyaji Mapato ( TAUSI ) ili kuhakikisha wananchi wanalipa kodi…

Soma Zaidi »

Sh Bilioni 1.6 yawekezwa mikopo ya nyumba

DAR ES SALAAM: BENKI ya Absa imeingiza hisa za Sh bilioni 1.6 kwa Taasisi ya mikopo ya nyumba ya Mortgage…

Soma Zaidi »

Usumbufu mikopo kausha damu kupatiwa ufumbuzi

WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameondoa usumbufu ambao wananchi wamekuwa wakiupata kutokana na mikopo ya…

Soma Zaidi »

TIC: Changamkieni fursa za uwekezaji

ARUSHA;  Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC) kimewataka wawekezaji wazawa pamoja na wageni kuchangamkia fursa za uwekezaji zitakazowezesha vijana kupata ajira. Hayo…

Soma Zaidi »

BOT kuwakwamua waathirika mikopo umiza, kausha damu

DAR ES SALAAM: BENKI Kuu  ya Tanzania (BOT) imezindua rasmi mtaala wa wakufunzi wa elimu ya fedha nje ya mfumo…

Soma Zaidi »

“Utaratibu wa kuchimbia fedha ni wa kizamani”

DODOMA: WAZIRI wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, amewataka watanzania kuacha tabia ya kuhifadhi fedha majumbani badala yake watumie mabenki kuhifadhi…

Soma Zaidi »

Randin: Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa SDC azuru Tanzania

Mkurugenzi Mkuu Msaidizi na Mkuu wa Kitengo cha Kusini mwa Jangwa la Sahara wa Shirika la Maendeleo na Ushirikiano la…

Soma Zaidi »
Back to top button