Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Gawio Mashirika, Taasisi za Umma laongezeka 68%

Gawio Mashirika, Taasisi za Umma laongezeka 68%

KUFIKIA Juni 09, 2025 Gawio la Mashirika na Taasisi za Umma kwenda Mfuko Mkuu wa Serikali limeongezeka kutoka sh bilioni…
Korosho; ‘dhahabu’ inayofanya mageuzi ya kiuchumi Kusini

Korosho; ‘dhahabu’ inayofanya mageuzi ya kiuchumi Kusini

KWA miaka minne ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, mageuzi makubwa yamefanywa…
Manufaa lukuki ushiriki wa Tanzania maonesho Japan

Manufaa lukuki ushiriki wa Tanzania maonesho Japan

TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Osaka (World Expo Osaka 2025) yanayoendelea nchini Japan. Yalianza Aprili…
Serikali: Tunahitaji Wawekezaji Wakubwa

Serikali: Tunahitaji Wawekezaji Wakubwa

DAR ES SALAAM: SERIKALI imetoa wito kwa wawekezaji wa kimataifa kuwekeza nchini kwa kiwango kikubwa na katika miradi ya kimkakati,…
Katibu Mtendaji Tume ya Mipango ateta na Bakhressa

Katibu Mtendaji Tume ya Mipango ateta na Bakhressa

DAR ES SALAAM; Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dk Fred Msemwa, amekutana na Mfanyabiashara mashuhuri barani Afrika,…
CCM yaja na mambo 11 kukuza uchumi wa buluu

CCM yaja na mambo 11 kukuza uchumi wa buluu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema katika miaka mitano ijayo kitaielekeza serikali ifanye mambo 11 ili uchumi wa buluu uchangie maendeleo…
Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi jengo la ‘Viwango House’

Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi jengo la ‘Viwango House’

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 4 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la Shirika la Viwango Tanzania…
Wizara ya Fedha yaomba kuidhinishiwa Sh Tril.20

Wizara ya Fedha yaomba kuidhinishiwa Sh Tril.20

DODOMA; WIZARA ya Fedha imewasilisha mafungu nane ikiomba kuidhinishiwa kiasi cha Sh trilioni 20.19 kwa mwaka wa fedha 2025/26 kwa…
Sekta ya nyama na mwanga wa matumaini

Sekta ya nyama na mwanga wa matumaini

SEKTA ya mifugo nchini inang’ara kwa matumaini mapya ya kiuchumi ikionesha ukuaji mkubwa unaochangia katika pato la taifa na kutoa…
Mwelekeo wa bajeti kwa mazao asilia ya biashara

Mwelekeo wa bajeti kwa mazao asilia ya biashara

“KATIKA mwaka 2025/2026 Wizara ya Kilimo itawawezesha wakulima kuongeza uzalishaji wa mazao asilia ya biashara ya pamba, kahawa, mkonge, korosho,…
Back to top button