Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Biteko aikaribisha India kuwekeza miradi ya umeme jua nchini

Biteko aikaribisha India kuwekeza miradi ya umeme jua nchini

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya…
Biteko anadi mikunde, aalika wawekezaji kutoka India

Biteko anadi mikunde, aalika wawekezaji kutoka India

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Serikali ya Tanzania imejizatiti kuboresha na kuimarisha sekta ya…
‘Epuka kukopa fedha taasisi isiyosajiliwa rasmi’

‘Epuka kukopa fedha taasisi isiyosajiliwa rasmi’

SERIKALI imewaasa wananchi kuepuka kukopa fedha kwenye Taasisi ama vikundi vinavyotoa huduma za kifedha bila kusajiliwa rasmi kwa mujibu wa…
KARNE YA HUDUMA: TCB yajipambanua kidijitali

KARNE YA HUDUMA: TCB yajipambanua kidijitali

DAR ES SALAAM: Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa huku ikiahidi wateja na wadau kuwa itaendelea…
Umuhimu wa maboresho ya kodi kupitia ushirikishaji umma

Umuhimu wa maboresho ya kodi kupitia ushirikishaji umma

KODI ni muhimu katika kufadhili shughuli za maendeleo ya kiuchumi na huduma za umma Afrika Mashariki. Serikali za ukanda huu…
Naibu Katibu Mkuu Maliasili awanoa wahasibu

Naibu Katibu Mkuu Maliasili awanoa wahasibu

ARUSHA: NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Maliasili Kamishna wa Polisi, Benedict Wakulyamba amesema Wahasibu wa…
Serikali yawashauri wazazi kufundisha watoto kujiwekea akiba

Serikali yawashauri wazazi kufundisha watoto kujiwekea akiba

Serikali kupitia Wizara ya Fedha imewashauri wazazi na walezi kuwafundisha Watoto kuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba ili kuwasaidia katika…
Serikali yaasa wananchi kutowekeza fedha penye vihatarishi

Serikali yaasa wananchi kutowekeza fedha penye vihatarishi

SERIKALI imetoa rai kwa Wananchi kuwekeza fedha zao sehemu sahihi na salama badala ya kuwekeza fedha mahali ambapo pana vihatarishi.…
Watanzania kula maisha Dubai ‘Valentine Day’

Watanzania kula maisha Dubai ‘Valentine Day’

WATANZANIA Kadhaa watapata nafasi ya kusherehekea siku ya wapendanao ‘Valentine Day’ wakiwa nchini Dubai. Hatua hiyo ni baaada ya Kampuni…
Dira 2050 yataja changamoto saba mazingira ya biashara

Dira 2050 yataja changamoto saba mazingira ya biashara

RASIMU ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 imetaja changamoto saba za mazingira wezeshi ya biashara na uwekezaji nchini. Imetaja…
Back to top button