Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Kampuni Kenya yakamilisha umiliki wa ISP Habari ya Arusha
November 26, 2024
Kampuni Kenya yakamilisha umiliki wa ISP Habari ya Arusha
NAIROBI: Kampuni ya utoaji huduma ya mtandao ya Kenya, Mawingu imeitwaa kampuni ya IPS Habari yenye makao makuu jijini Arusha…
Serikali yaita wawekezaji kutoka Japan
November 26, 2024
Serikali yaita wawekezaji kutoka Japan
SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Japan huku ikitoa wito kwa kampuni za Japan kuja kuwekeza nchini katika maeneo mbalimbali…
Vikwazo 18 biashara ya kuvuka mpaka vyaainishwa
November 23, 2024
Vikwazo 18 biashara ya kuvuka mpaka vyaainishwa
VIKWAZO 18 visivyo vya kikodi vimeainishwa vikielezwa kuwa vimekuwa changamoto kubwa na kuzuia kukua kwa biashara ya kuvuka mpaka kwa…
“Wadau Takwimu Rasmi shirikianeni na Serikali”
November 23, 2024
“Wadau Takwimu Rasmi shirikianeni na Serikali”
NAIBU Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande, ametoa rai kwa wadau wote wa sekta ya Takwimu Rasmi kushirikiana na Serikali…
TIRA yahimizwa kufanya kazi kidigitali
November 23, 2024
TIRA yahimizwa kufanya kazi kidigitali
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imezindua taarifa ya utendaji wa soko la bima huku ikihimizwa kuimarisha matumizi ya…
Majaliwa: Mitaala izingatie mabadiliko ya kiuchumi, kiteknolojia
November 22, 2024
Majaliwa: Mitaala izingatie mabadiliko ya kiuchumi, kiteknolojia
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza kuwa mitaala inayoandaliwa ihakikishe inazingatia mabadiliko ya kiuchumi na maendeleo ya kiteknolojia. Amesema hayo leo…
Serikali yaahidi mazingira bora ya biashara, uwekezaji
November 22, 2024
Serikali yaahidi mazingira bora ya biashara, uwekezaji
SERIKALI imeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji ili kuchochea ukuaji wa sekta mbalimbali kama Utalii, Kilimo, Madini, Viwanda,…
Tume Maboresho ya Kodi yasheheni wabobezi kutimiza malengo
November 22, 2024
Tume Maboresho ya Kodi yasheheni wabobezi kutimiza malengo
UUNDAJI wa Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan ni hatua muhimu na ya…
Majaliwa afungua kongamano la maendeleo ya biashara, uchumi
November 22, 2024
Majaliwa afungua kongamano la maendeleo ya biashara, uchumi
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Novemba 22 anamwakilisha Rais Dk Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa kongamano la tano ya…
BoT yafungia ‘taasisi’ 69 mikopo kidijiti
November 22, 2024
BoT yafungia ‘taasisi’ 69 mikopo kidijiti
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imezifungia programu tumizi 69 zilizokuwa zikitumika kutoa mikopo kidijiti. Gavana wa BoT, Emmanuel Tutuba ameeleza…