Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Wanawake wapewa 5 sekta ya uvuvi
March 22, 2024
Wanawake wapewa 5 sekta ya uvuvi
DAR ES SALAAM: Wanawake wachakataji na wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi barani Afrika wametajwa kuwa na mchango mkubwa katika sekta…
Mageuzi kilimo cha viazi yaja
March 21, 2024
Mageuzi kilimo cha viazi yaja
GEITA: CHAMA cha wazalishaji wa mbegu za viazi vitamu kanda ya ziwa (Chawavitamb-Kazi) kimejipanga kuja na muongozo thabiti utakaosaidia kuratibu…
Simalenga atoa onyo waliokaidi bei elekezi ya Sukari
March 21, 2024
Simalenga atoa onyo waliokaidi bei elekezi ya Sukari
SIMIYU: Mkuu wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Simon Simalenga amesema kuwa wafanyabiashara katika wilaya hiyo wameendelea kukaidi agizo la…
Treni binafsi za mizigo kuanza Tazara
March 20, 2024
Treni binafsi za mizigo kuanza Tazara
DAR ES SALAAM: Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara) limesaini mkataba na sekta binafsi ya kuleta treni ambazo…
Tanzania, Uholanzi, China kushirikiana mazao ya mbogamboga
March 20, 2024
Tanzania, Uholanzi, China kushirikiana mazao ya mbogamboga
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli amesema Serikali ya Tanzania, China na Uholanzi zitaendelea kushirikiana kukiendeleza Kituo cha…
Eneo la uongezeaji thamani madini mbioni
March 19, 2024
Eneo la uongezeaji thamani madini mbioni
KAHAMA: Serikali imedhamiria kutekeleza sera ya uongezaji thamani ya madini ndani ya nchi kwa kutengeneza bidhaa zitokanazo na madini ghafi.…
Mkoa wa Manyara kuchunguzwa ubadhilifu fedha za miradi
March 19, 2024
Mkoa wa Manyara kuchunguzwa ubadhilifu fedha za miradi
BABATI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeielekeza Ofisi ya Rais – TAMISEMI kufanya,…
DC Tandahimba awapa neno wanahisa Tacoba
March 19, 2024
DC Tandahimba awapa neno wanahisa Tacoba
WANAHISA katika Benki ya Wananchi Tandahimba (TACOBA) mkoani Mtwara wametakiwa kuendelea kununua hisa ili kuongeza thamani ya uwekezaji wao. Hayo…
Mavunde akikubali chuo cha ujuzi Kahama
March 18, 2024
Mavunde akikubali chuo cha ujuzi Kahama
WAZIRI wa Madini nchini Anthony Mavunde amesema uwekezaji wa chuo cha Mafunzo ya Ubunifu, Maarifa na Ujuzi kilichoanzishwa Buzwagi Wilaya…
Kahawa ya Tanzania kivutio Japan
March 14, 2024
Kahawa ya Tanzania kivutio Japan
TOKYO, Japan: Kahawa ya Tanzania imeendelea kulishika soko la kimataifa baada ya Kampuni ya ITO EN LTD, ambayo ni kampuni…