Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Wanawake wapewa 5 sekta ya uvuvi

Wanawake wapewa 5 sekta ya uvuvi

DAR ES SALAAM: Wanawake wachakataji na wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi barani Afrika wametajwa kuwa na mchango mkubwa katika sekta…
Mageuzi kilimo cha viazi yaja

Mageuzi kilimo cha viazi yaja

GEITA: CHAMA cha wazalishaji wa mbegu za viazi vitamu kanda ya ziwa (Chawavitamb-Kazi) kimejipanga kuja na muongozo thabiti utakaosaidia kuratibu…
Simalenga atoa onyo waliokaidi bei elekezi ya Sukari

Simalenga atoa onyo waliokaidi bei elekezi ya Sukari

SIMIYU: Mkuu wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Simon Simalenga amesema kuwa wafanyabiashara katika wilaya hiyo wameendelea kukaidi agizo la…
Treni binafsi za mizigo kuanza Tazara

Treni binafsi za mizigo kuanza Tazara

DAR ES SALAAM: Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara) limesaini mkataba na sekta binafsi ya kuleta treni ambazo…
Tanzania, Uholanzi, China kushirikiana mazao ya mbogamboga

Tanzania, Uholanzi, China kushirikiana mazao ya mbogamboga

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli amesema Serikali ya Tanzania, China na Uholanzi zitaendelea kushirikiana kukiendeleza Kituo cha…
Eneo la uongezeaji thamani madini mbioni

Eneo la uongezeaji thamani madini mbioni

KAHAMA: Serikali imedhamiria kutekeleza  sera ya uongezaji thamani ya madini ndani ya nchi kwa kutengeneza bidhaa zitokanazo na madini ghafi.…
Mkoa wa Manyara kuchunguzwa ubadhilifu fedha za miradi

Mkoa wa Manyara kuchunguzwa ubadhilifu fedha za miradi

BABATI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeielekeza Ofisi ya Rais – TAMISEMI kufanya,…
DC Tandahimba awapa neno wanahisa Tacoba

DC Tandahimba awapa neno wanahisa Tacoba

WANAHISA katika Benki ya Wananchi Tandahimba (TACOBA) mkoani Mtwara wametakiwa kuendelea kununua hisa ili kuongeza thamani ya uwekezaji wao. Hayo…
Mavunde akikubali chuo cha ujuzi Kahama

Mavunde akikubali chuo cha ujuzi Kahama

WAZIRI wa Madini nchini Anthony Mavunde amesema uwekezaji wa chuo cha Mafunzo ya Ubunifu, Maarifa na Ujuzi kilichoanzishwa Buzwagi Wilaya…
Kahawa ya Tanzania kivutio Japan

Kahawa ya Tanzania kivutio Japan

TOKYO, Japan: Kahawa ya Tanzania imeendelea kulishika soko la kimataifa baada ya  Kampuni ya ITO EN LTD, ambayo ni kampuni…
Back to top button