Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Waziri Ulega atoa maelekezo uvuvi haramu

Waziri Ulega atoa maelekezo uvuvi haramu

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Abdalah Ulega amemuagiza Mkurugenzi wa Uvuvi, Profesa Mohamed Sheikh kushirikiana na vyombo vya ulinzi na…
Watakiwa kusajili bidhaa zao

Watakiwa kusajili bidhaa zao

ARUSHA; WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), amewataka wavumbuzi wa vifaa,dawa na bidhaa nyingine kuhakikisha wanasajili bidhaa zao…
Machinga watii amri ya serikali Iringa

Machinga watii amri ya serikali Iringa

ZOEZI la kuwaondoa machinga katika maeneo yasioruhusiwa mjini Iringa imeanza kuzaa matunda tangu izinduliwe rasmi Novemba 19, mwaka huu. Mitaa…
Latra yatangaza viwango vipya vya nauli

Latra yatangaza viwango vipya vya nauli

ARUSHA: MKURUGENZI wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA), CPA Habibu Suluo ametangaza nauli mpya za mabasi ya mijini…
Mauzo ya Korosho yatengeneza Sh.Bil 461.8

Mauzo ya Korosho yatengeneza Sh.Bil 461.8

MTWARA; JUMLA ya tani 208,000 za korosho ghafi zimeuzwa na kuingiza kiasi cha Sh bilioni 461.8  kwa msimu wa 2023/2024.…
Bandari ya Mtwara kufungua zaidi mauzo ya Korosho

Bandari ya Mtwara kufungua zaidi mauzo ya Korosho

MTWARA: Bandari ya Mtwara inatarajia kupokea meli tisa zenye makasha matupu zaidi ya 2,758 kwa ajili ya kupakia korosho ghafi…
MSD Mlipa Kodi Bora mwaka 2023

MSD Mlipa Kodi Bora mwaka 2023

DAR ES SALAAM: Bohari ya Dawa (MSD), imetwaa tuzo ya Mlipakodi Bora kwa mwaka 2023 ya Mamlaka ya Kodi Tanzania.…
Tanesco kateni umeme kwa wote wanaodaiwa

Tanesco kateni umeme kwa wote wanaodaiwa

ARUSHA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukata umeme kwa…
‘Tuzo za watendaji, wakuu wa kampuni 100 bora kuchochea ufanisi’

‘Tuzo za watendaji, wakuu wa kampuni 100 bora kuchochea ufanisi’

DAR ES SALAAM: TUZO za wakuu na watendaji wa makampuni 100 bora hapa nchini zimetajwa kuwa ni njia sahihi ya…
Tanzania kinara kutoa fedha za utafiti

Tanzania kinara kutoa fedha za utafiti

DAR ES SALAAM: TANZANIA ni nchi ya kwanza katika kutoa fedha za utafiti ikifuatia nchi ya Afrika Kusini katika nchi…
Back to top button