Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Kampuni uchimbaji madini yapandikiza vifaranga vya samaki

Kampuni uchimbaji madini yapandikiza vifaranga vya samaki

KAMPUNI ya Diamond Williamson Ltd inayojishughulisha na uchimbaji wa madini ya almas iliyopo Mwadui wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, wamepandikiza vifaranga…
Geita yavunja rekodi ulipaji kodi

Geita yavunja rekodi ulipaji kodi

GEITA: MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA) mkoani Geita imefanikiwa kukusanya kiasi cha Sh bilioni 55.07 kwa mwaka wa fedha 2022/23…
TRA yasisitiza matumizi sahihi risiti za EFD

TRA yasisitiza matumizi sahihi risiti za EFD

MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), imewasisitiza wafanyabiashara kutambua kuwa matumizi sahihi ya Mashine za Risiti za Kielektroniki (EFD) ndio njia…
Wakwepa kodi Kagera kuundiwa kikosi maalum

Wakwepa kodi Kagera kuundiwa kikosi maalum

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwassa amesema uongozi wa mkoa umeungana na Mamlaka ya Mapato (TRA) na taasisi nyingine…
Serikali yazungumzia ushiriki wa Tanzania mkutano Dubai

Serikali yazungumzia ushiriki wa Tanzania mkutano Dubai

DUBAI; SERIKALI ya Tanzania inashiriki Mkutano wa 28 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya…
Msako wasiofuata sheria uuzaji vyakula vya mifugo waja

Msako wasiofuata sheria uuzaji vyakula vya mifugo waja

MSAKO wa kuwashughulikia wazalishaji na wauzaji wa vyakula vya mifugo wasiofuata sheria na kanuni zinazoongoza utekelezaji wa shughuli hizo kuanza.…
Kidata: Kampuni acheni biashara za magendo

Kidata: Kampuni acheni biashara za magendo

DAR ES SALAAM: KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania TRA, Alphayo Kidata ameyataka makampuni na wafanyabiashara wakubwa kuepuka kufanya…
TRA yakusanya Sh bilioni 6 robo ya kwanza Kahama

TRA yakusanya Sh bilioni 6 robo ya kwanza Kahama

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa kikodi Kahama umefanikiwa kukusanya kukusanya Sh bilioni 6.59 sawa na ufanisi wa asilimia 125 kwa…
Wahasibu watakiwa kuzingatia maadili

Wahasibu watakiwa kuzingatia maadili

DAR ES SALAAM; Waziri wa Nchi  Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amewataka…
Uvuvi haramu waondoka na Kaimu Mkurugenzi Uvuvi

Uvuvi haramu waondoka na Kaimu Mkurugenzi Uvuvi

DAR ES SALAAM; Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ameelekeza kuondolewa katika nafasi yake Kaimu Mkurugenzi wa Uvuvi, Stephen…
Back to top button