Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Nape ataka posta wawe wabunifu kujitangaza
July 28, 2023
Nape ataka posta wawe wabunifu kujitangaza
WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ameliagiza Shirika la Posta Tanzania (POSTA) kuwa wabunifu katika kutangaza…
Mashirika yatakayofutwa hadharani mwezi ujao
July 28, 2023
Mashirika yatakayofutwa hadharani mwezi ujao
MSAJILI wa Hazina, Nehemia Mchechu amesema mwezi ujao wanatarajia kutangaza mashirika na kampuni zitakazofutwa, kuunganishwa na zitakazopewa muda wa kurekebisha…
Ndege ya mizigo ATCL kusafirisha chanjo DRC
July 28, 2023
Ndege ya mizigo ATCL kusafirisha chanjo DRC
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limeamua kutumia ndege mpya ya kisasa ya mizigo Boeing 767-300 inayomilikiwa…
Serikali: Hatuuzi, hatubinafsishi bandari
July 28, 2023
Serikali: Hatuuzi, hatubinafsishi bandari
SERIKALI imesema hadi sasa haijapata kampuni ya kuwekeza katika bandari na haitauza au kubinafsisha bandari yoyote. Msemaji Mkuu wa Serikali,…
Majaliwa akaribisha wawekezaji kwenye mbolea
July 27, 2023
Majaliwa akaribisha wawekezaji kwenye mbolea
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaalika wawekezaji waliobobea kwenye sekta ya mbolea ili waje kufungua viwanda vya mbolea nchini. Ametoa mwaliko…
Kodi ya majengo yapanda
July 26, 2023
Kodi ya majengo yapanda
MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na shirika la umeme Tanzania (TANESCO) imeeleza kuwa serikali imefanya mabadiliko ya sheria…
Dar watakiwa kutumia fursa
July 21, 2023
Dar watakiwa kutumia fursa
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kukuza kipato na kuimarisha uchumi kupitia…
Uhaba wa vitunguu wapaisha bei
July 21, 2023
Uhaba wa vitunguu wapaisha bei
UHABA wa vitunguu katika soko la Ilala jijini Dar es Salaam, umesababisha bei ya vitunguu kuwa juu na kufikia kati…
‘Msiwazie ajira ni TRA pekee’
July 20, 2023
‘Msiwazie ajira ni TRA pekee’
CHUO cha Kodi kimewataka vijana wanaosoma chuoni hapo kuondoa dhana kuwa sehemu pekee wanayoweza kupata ajira ni Mamlaka ya Mapato…
Nyanya bwerere sokoni Ilala
July 20, 2023
Nyanya bwerere sokoni Ilala
KWA mara ya kwanza Soko la Ilala lililopo Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam limevunja rekodi kwa magari kushusha…