Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Kikwete ataka nguvu kwenye rasilimali watu

Kikwete ataka nguvu kwenye rasilimali watu

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dk. Jakaya Kikwete, amesema vyuo na taasisi nyingine za elimu nchini ni nyenzo muhimu…
JK: Maonesho ya Sabasaba iwe fursa ya masoko

JK: Maonesho ya Sabasaba iwe fursa ya masoko

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne Dk. Jakaya Kikwete, amesema ni wajibu kwa wafanyabiashara nchini kuona maonesho ya Sabasaba 2023′…
Tanzania yaingia soko la hisa New York

Tanzania yaingia soko la hisa New York

LIFEZONE METALS, Kampuni mama ya Tembo Nickel leo Julai 6, 2023,imeanza kuuza hisa zake kwenye Soko la Hisa la New…
TADB waomba kibali kufungua kiwanda

TADB waomba kibali kufungua kiwanda

BENKI ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), imetuma ombi kwa serikali la kutoa kibali kwa mwekezaji cha kufungua Kiwanda cha kuchakata…
Majaliwa kuzindua ofisi za TADB Mtwara

Majaliwa kuzindua ofisi za TADB Mtwara

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, leo anatarajiwa kuzindua ofisi ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo nchini (TADB) Kanda ya Kusin,i ambayo…
Majaliwa: Fanyeni biashara kwa kujiamini, weledi

Majaliwa: Fanyeni biashara kwa kujiamini, weledi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka wafanyabiashara kufanya shughuli zao kwa kujiamini, weledi na uzalendo huku wakizingatia kanuni, sheria na taratibu…
Lissu ashauri mfumo wa kodi uboreshwe

Lissu ashauri mfumo wa kodi uboreshwe

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amesema kuna haja ya kuboresha mfumo wa ukusanyaji wa…
Watafiti, wafanyabiashara wakaribishwa TSN

Watafiti, wafanyabiashara wakaribishwa TSN

KAMPUNI ya Magazeti ya Serikali (TSN) imewakaribisha watafiti, wafanyabiashara na wananchi kwa ajili ya kupata habari na taarifa mbalimbali za…
TRA yamshukuru Samia kwa kuwawezesha kukusanya tril 24/-

TRA yamshukuru Samia kwa kuwawezesha kukusanya tril 24/-

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan na serikali kwa taasisi hiyo kukusanya mapato ya Sh trilioni…
Dk Mpango ataka huduma za kibenki vijijini

Dk Mpango ataka huduma za kibenki vijijini

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amezitaka benki nchini kupeleka huduma zao maeneo ya vijijini ili kurahisisha upatikanaji wa huduma…
Back to top button