Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Twiga Cement yasaidia waathirika mafuriko Rwanda

Twiga Cement yasaidia waathirika mafuriko Rwanda

KAMPUNI ya Saruji Tanzania Portland Cement ijulikanayo kwa jina la Twiga Cement imekabidhi tani 64 sawa na mifuko 1,280 ya…
Chalinze Cement yaishitaki Brela kufutiwa leseni

Chalinze Cement yaishitaki Brela kufutiwa leseni

KAMPUNI ya Saruji ya Chalinze imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dar es Salaam, dhidi ya Wakala…
Wafanyabiashara Kariakoo wakubali kufungua maduka

Wafanyabiashara Kariakoo wakubali kufungua maduka

BAADA ya agizo la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa la kuwataka wafanyabiashara wa soko la Kariakoo kufungua maduka, hatimaye wafanyabiashara hao…
Dk Mpango kuanza ziara Arusha

Dk Mpango kuanza ziara Arusha

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango kesho anatarajiwa kuanza ziara ya siku nne mkoani Arusha, ikiwemo kuweka jiwe la msingi…
Majaliwa azima mgomo Kariakoo

Majaliwa azima mgomo Kariakoo

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefika soko la Kariakoo na kuwasihi wafanyabiashara wasitishe mgomo wao na wafungue maduka, ombi ambalo limekubaliwa…
Majaliwa aagiza kikosi kazi TRA kiondolewe Kariakoo

Majaliwa aagiza kikosi kazi TRA kiondolewe Kariakoo

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza kuondolewa kwa kikosi kazi cha ukusanyaji wa mapato katika eneo la Kariakoo akida kuwa uwepo…
Majaliwa akutana na wafanyabiashara Kariakoo

Majaliwa akutana na wafanyabiashara Kariakoo

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amefika Kariakoo kuzungumza na Jumuiya ya wafanyabiashara wa soko hilo, badala ya Mei 17, 2023 kama…
Tanzania yajipanga kufanikisha jukwaa la kimataifa AGRF-2023

Tanzania yajipanga kufanikisha jukwaa la kimataifa AGRF-2023

IKIWA na lengo la kuwa kitovu cha uhakika wa chakula kimataifa, Tanzania inayosifika kwa uzalishaji wa chakula katika eneo la…
TRA yaonya wafanyabiashara wadanganyifu

TRA yaonya wafanyabiashara wadanganyifu

MAMLAKA ya Mapato (TRA) Mkoa wa Katavi, imetangaza kuwachukulia hatua za kisheria wafanyabiashara watakaobainika kufanya udanganyifu kwa kutoa risiti za…
TPA yakana urasimu utoaji huduma bandarini

TPA yakana urasimu utoaji huduma bandarini

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema uwekezaji uliofanywa katika bandari nchini umeongeza ufanisi wa uwezo wa kupakua shehena…
Back to top button