Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

China kuitumia Tanzania kuzalisha bidhaa za ngozi

China kuitumia Tanzania kuzalisha bidhaa za ngozi

KAMPUNI ya kuzalisha bidhaa za ngozi vikiwemo viatu ya Huajian Group ya China inajipanga kuja kuwekeza nchini kuanzia mwaka huu.…
Watanzania mil.8.5 kufikiwa mawasiliano

Watanzania mil.8.5 kufikiwa mawasiliano

MTENDAJI Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Justina Mashiba amesema Watanzania milioni 8.5 watafikiwa na huduma za mawasiliano…
Waajiri wanaokwepa mikataba kukiona

Waajiri wanaokwepa mikataba kukiona

KATIKA kudhibiti waajiri wanaonyanyasa na kuwadhulumu wafanyakazi kwa kukwepa kuwapa mikataba na kuwatumia kama vibarua, serikali imetangaza kuanza ukaguzi wa…
TARURA wafanya kweli barabara Musoma-Bunda

TARURA wafanya kweli barabara Musoma-Bunda

WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Mara inajenga Barabara yenye Kilomita 11, ambayo inaunganisha Wilaya za Musoma…
Wakulima wa korosho watakiwa kuongeza mazao

Wakulima wa korosho watakiwa kuongeza mazao

WAKULIMA wa Korosho mkoani Mtwara wametakiwa kuhakikisha wanalima mazao mengi zaidi ili ikitokea changamoto ya mavuno kwenye korosho kuwe na…
TPSF yazungumzia operesheni za NEMC

TPSF yazungumzia operesheni za NEMC

TAASISI ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imewashauri wafanyabiashara kuweka mazingira bora na salama kwa watumiaji wa huduma zao kwa kufuata…
Sh 2,350 kwa dakika anakuwa ‘girlfriend’ wako

Sh 2,350 kwa dakika anakuwa ‘girlfriend’ wako

YOUTUBER wa Marekani mwenye umri wa miaka 23, Caryn Marjorie amejiongezea umaarufu mbali ya kuwa na wafuasi zaidi ya milioni…
Mwigulu aeleza azma ya Samia kukuza kilimo

Mwigulu aeleza azma ya Samia kukuza kilimo

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amelieleza Bunge kwamba Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuimarisha kilimo cha umwagiliaji…
Ireland yatoa Sh bil.4.6 uchumi wa buluu

Ireland yatoa Sh bil.4.6 uchumi wa buluu

SERIKALI ya Ireland imetoa fedha kiasi cha Sh bil 4. 6 kwa ajili ya kusaidia serikali ya Tanzania katika juhudi…
TANECU Mtwara yatakiwa kuongeza kasi uzalishaji korosho

TANECU Mtwara yatakiwa kuongeza kasi uzalishaji korosho

CHAMA Kikuu cha Ushirika cha Tandahimba Newala Cooperative Union Limited (TANECU) mkoani Mtwara kimetakiwa kuongeza uzalishaji wa zao la Korosho…
Back to top button