Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
China kuitumia Tanzania kuzalisha bidhaa za ngozi
May 15, 2023
China kuitumia Tanzania kuzalisha bidhaa za ngozi
KAMPUNI ya kuzalisha bidhaa za ngozi vikiwemo viatu ya Huajian Group ya China inajipanga kuja kuwekeza nchini kuanzia mwaka huu.…
Watanzania mil.8.5 kufikiwa mawasiliano
May 13, 2023
Watanzania mil.8.5 kufikiwa mawasiliano
MTENDAJI Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Justina Mashiba amesema Watanzania milioni 8.5 watafikiwa na huduma za mawasiliano…
Waajiri wanaokwepa mikataba kukiona
May 13, 2023
Waajiri wanaokwepa mikataba kukiona
KATIKA kudhibiti waajiri wanaonyanyasa na kuwadhulumu wafanyakazi kwa kukwepa kuwapa mikataba na kuwatumia kama vibarua, serikali imetangaza kuanza ukaguzi wa…
TARURA wafanya kweli barabara Musoma-Bunda
May 12, 2023
TARURA wafanya kweli barabara Musoma-Bunda
WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Mara inajenga Barabara yenye Kilomita 11, ambayo inaunganisha Wilaya za Musoma…
Wakulima wa korosho watakiwa kuongeza mazao
May 12, 2023
Wakulima wa korosho watakiwa kuongeza mazao
WAKULIMA wa Korosho mkoani Mtwara wametakiwa kuhakikisha wanalima mazao mengi zaidi ili ikitokea changamoto ya mavuno kwenye korosho kuwe na…
TPSF yazungumzia operesheni za NEMC
May 11, 2023
TPSF yazungumzia operesheni za NEMC
TAASISI ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imewashauri wafanyabiashara kuweka mazingira bora na salama kwa watumiaji wa huduma zao kwa kufuata…
Sh 2,350 kwa dakika anakuwa ‘girlfriend’ wako
May 11, 2023
Sh 2,350 kwa dakika anakuwa ‘girlfriend’ wako
YOUTUBER wa Marekani mwenye umri wa miaka 23, Caryn Marjorie amejiongezea umaarufu mbali ya kuwa na wafuasi zaidi ya milioni…
Mwigulu aeleza azma ya Samia kukuza kilimo
May 11, 2023
Mwigulu aeleza azma ya Samia kukuza kilimo
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amelieleza Bunge kwamba Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuimarisha kilimo cha umwagiliaji…
Ireland yatoa Sh bil.4.6 uchumi wa buluu
May 10, 2023
Ireland yatoa Sh bil.4.6 uchumi wa buluu
SERIKALI ya Ireland imetoa fedha kiasi cha Sh bil 4. 6 kwa ajili ya kusaidia serikali ya Tanzania katika juhudi…
TANECU Mtwara yatakiwa kuongeza kasi uzalishaji korosho
May 10, 2023
TANECU Mtwara yatakiwa kuongeza kasi uzalishaji korosho
CHAMA Kikuu cha Ushirika cha Tandahimba Newala Cooperative Union Limited (TANECU) mkoani Mtwara kimetakiwa kuongeza uzalishaji wa zao la Korosho…