Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Rais Samia apongezwa kuwasikiliza wafanyabiashara
May 17, 2023
Rais Samia apongezwa kuwasikiliza wafanyabiashara
NAIBU Spika, Mussa Azzan Zungu amempongeza Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kumuagiza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kufika viwanja…
NBC yakabidhi gawio la bilioni 6/- serikalini
May 17, 2023
NBC yakabidhi gawio la bilioni 6/- serikalini
Serikali imepokea kiasi cha Shilingi bilioni sita kutoka Benki ya Taifa ya Biashara (NBC). Kiasi hicho ni sehemu ya gawio…
Wakulima walipwa Tril 2.9 mazao ya kimkakati
May 17, 2023
Wakulima walipwa Tril 2.9 mazao ya kimkakati
TUME ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imesema tani trillioni 1.009 za mazao ya kimkakati ya tumbaku, kakao, pamba ,…
Tukadange?
May 17, 2023
Tukadange?
MFANYABIASHARA maarufu wa vipodozi soko la Kariakoo, anayefahamika kwa jina la Sinyagile ‘Sinyaa’ amedai kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…
Waishukuru serikali mazingira rafiki taasisi za fedha
May 17, 2023
Waishukuru serikali mazingira rafiki taasisi za fedha
WAKALA ambaye anafanya huduma za kifedha Emmanuel Mnema, ameishukuru Serikali kwa kuandaa mazingira mazuri kwa taasisi za kifedha na kusababisha…
LIVE: Waziri Mkuu anazungumza na wafanyabiashara Mnazi Mmoja
May 17, 2023
LIVE: Waziri Mkuu anazungumza na wafanyabiashara Mnazi Mmoja
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa muda huu anazungumza na wafanyabiashara wa soko la kimataifa la kariakoo katika viwanja vya Mnazi Mmoja,…
‘Kuna watu wanafaidika mgomo Kariakoo’
May 16, 2023
‘Kuna watu wanafaidika mgomo Kariakoo’
MWENYEKITI wa wafanyabiashara Karikaoo, Martin Mbwana amesema mgomo unaoendelea sasa unatokana na ushawishi wa kikundi cha watu wachache wenye maslahi…
TRA Kigoma yahamasisha umuhimu wa risiti
May 16, 2023
TRA Kigoma yahamasisha umuhimu wa risiti
Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoani Kigoma, imeeleza licha ya utoaji wa elimu ya mlipa kodi bado suala hilo limeendelea…
Twiga Cement yasaidia waathirika mafuriko Rwanda
May 16, 2023
Twiga Cement yasaidia waathirika mafuriko Rwanda
KAMPUNI ya Saruji Tanzania Portland Cement ijulikanayo kwa jina la Twiga Cement imekabidhi tani 64 sawa na mifuko 1,280 ya…
Chalinze Cement yaishitaki Brela kufutiwa leseni
May 16, 2023
Chalinze Cement yaishitaki Brela kufutiwa leseni
KAMPUNI ya Saruji ya Chalinze imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dar es Salaam, dhidi ya Wakala…