Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Kampuni yalipa wakulima wa tumbaku bilioni 180/-

Kampuni yalipa wakulima wa tumbaku bilioni 180/-

KAMPUNI ya Alliance One Tobacco Tanzania Limited (AOTTL), imesema hadi sasa imewalipa wakulima wa tumbaku Dola za Marekani milioni 71.9…
Prof Kitila, Chongolo, Ummy watoa somo uwekezaji bandari

Prof Kitila, Chongolo, Ummy watoa somo uwekezaji bandari

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema suala la uwekezaji kwenye bandari si la Rais Samia Suluhu Hassan, lipo kwenye Ilani ya…
Jiji lajipanga uzalishaji majongoo bahari, kaa

Jiji lajipanga uzalishaji majongoo bahari, kaa

JIJI la Tanga limejipanga kuwa kinara katika uzalishaji wa majongoo bahari, unenepeshaji wa kaa pamoja na kilimo cha mwani nchini…
Rais Samia akaribisha wawekezaji Hungary

Rais Samia akaribisha wawekezaji Hungary

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekubalina na Rais wa Hungary, Katalin Novak wawekezaji kutoka Hungary kuwekeza katika miradi…
Uwekezaji njia nyeupe

Uwekezaji njia nyeupe

WATANZANIA wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika uwekezaji ili kuupiga jeki uchumi wa taifa kwa kutengeneza ajira na walipa kodi wapya.…
‘DP World haitakuwa na mamlaka kupunguza wafanyakazi’

‘DP World haitakuwa na mamlaka kupunguza wafanyakazi’

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usafiri wa Anga Hamza Johari, ambaye ndiye Mwenyekiti wa Tume ya Majadiliano kuhusu mwekezaji mpya kwenye…
Rais Samia: Msiogope kushirikiana na wakosoaji

Rais Samia: Msiogope kushirikiana na wakosoaji

Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi  mbalimbali kushirikiana na wadau wanaohisi wana mchango mzuri kwenye maendeleo ya taasisi zao. –…
Samia: Maendeleo ni haki ya Watanzania

Samia: Maendeleo ni haki ya Watanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi katika sekta mbalimbali kujali na kuthamini maendeleo, akisema kuwa ni haki ya Watanzania kuiona…
Samia ataka Watanzania kuchangamkia fursa

Samia ataka Watanzania kuchangamkia fursa

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza, kwani fursa huja na kupotea kwa haraka. – Rais Samia…
Wawekezaji waitwa Katavi

Wawekezaji waitwa Katavi

WAWEKEZAJI nchini wameombwa kuendelea kuwekeza katika Wilaya ya Tanganyika na Mkoa wa Katavi kwa ujumla kwa kuwa serikali inaendelea na…
Back to top button