Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Tamasha na FinTech kuibua fursa za uwekezaji

Tamasha na FinTech kuibua fursa za uwekezaji

DAR ES SALAAM: TAMASHA la Teknolojia ya Fedha FinTech linatarajiwa kuibua fursa mbalimbali na kuimarisha mifumo mbalimbali ya kiteknolojia nchini…
Wapigaji fedha za miradi kukiona

Wapigaji fedha za miradi kukiona

ARUSHA; Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amekemea tabia ya wahandisi kuletewa fedha za miradi kutoka serikalini  na badala…
“Tafuteni masoko ya nje ,mtajionea wenyewe”

“Tafuteni masoko ya nje ,mtajionea wenyewe”

DAR ES SALAAM: Serikali kupitia kituo cha uwekezaji Nchini (TIC) kimewataka wazalishaji wa ndani kujikita katika tafiti za masoko ya…
JWT: Lipeni kodi kwa wakati

JWT: Lipeni kodi kwa wakati

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Taifa (JWT), Hamis Livembe amewataka wafanyabishara nchini kulipa kodi kwa hiari kwa maslahi mapana ya…
Wafanyabiashara wa maduka Kisarawe walia na Machinga

Wafanyabiashara wa maduka Kisarawe walia na Machinga

WAFANYABIASHARA wa maduka Wilaya Kisarawe wameomba kuondolewa kwa Machinga wanaopanga biashara mbele ya maduka yao na kusababisha wao kukosa wateja.…
Mvua zakimbiza samaki

Mvua zakimbiza samaki

SAMAKI aina ya dagaa mchele na saladini wameadimika katika soko la Kimataifa la Samaki Feri mkoani Dar es Salaam na…
Watumishi TRA Shinyanga wafundwa maadili bora

Watumishi TRA Shinyanga wafundwa maadili bora

WATUMISHI wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Shinyanga wametakiwa kuwa na maadili, kuficha siri, kuwa na matumizi bora…
‘Kuna pengo kubwa viongozi na wananchi’

‘Kuna pengo kubwa viongozi na wananchi’

MKURUGENZI wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema, lipo pengo kubwa kati ya viongozi…
‘Uhusiano Tanzania, Indonesia utandelea kudumu’

‘Uhusiano Tanzania, Indonesia utandelea kudumu’

DAR ES SALAAM; Indonesia na Tanzania zimesherehekea historia ya uhusiano wa mataifa hayo mawili katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa…
Mkandarasi Kariakoo atakiwa kuharakisha

Mkandarasi Kariakoo atakiwa kuharakisha

DAR ES SALAAM: MKANDARASI anayekarabati soko la Kariakoo Estim Construction Limited ametakiwa kuongeza kasi ya kukamilisha mradi huo ili taratibu…
Back to top button