Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

‘Usafiri wa uhakika unachochea kasi ukuaji uchumi’

‘Usafiri wa uhakika unachochea kasi ukuaji uchumi’

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema huduma za uhakika za usafiri na usafirishaji ni msingi katika kuchochea kasi…
Akshay Kumar, Tiger Shroff kuachia mzigo mpya leo

Akshay Kumar, Tiger Shroff kuachia mzigo mpya leo

NEW DELHI, INDIA; BAADA ya kusubiriwa kwa muda mrefu na wapenzi wa filamu za mapigano duniani kote, hatimaye waigizaji wawili…
Waziri Mbarawa amshukuru Samia miradi uchukuzi

Waziri Mbarawa amshukuru Samia miradi uchukuzi

DAR ES SALAAM; Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi kwa ajili…
Watuma maombi TRC uendeshaji wa reli

Watuma maombi TRC uendeshaji wa reli

DAR ES SALAAM; SHIRIKA la Reli nchini (TRC), limepokea maombi kutoka kampuni za uendeshaji na wafanyabiashara wa ndani na nje…
Wabunge wapongeza uwekezaji Bandari Mtwara

Wabunge wapongeza uwekezaji Bandari Mtwara

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), imesema serikali ilifanya jambo la muhimu kuwekeza fedha…
Uwekezaji Mashirika ya Umma waongezeka kwa asilimia 8.6

Uwekezaji Mashirika ya Umma waongezeka kwa asilimia 8.6

DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema thamani ya uwekezaji…
TRA yanufaika uhusiano na wafanyabiashara

TRA yanufaika uhusiano na wafanyabiashara

DAR ES SALAAM: MAKUSANYO ya kodi nchini yamefikia Sh trilioni 24.14 kwa mwaka 2022/23 kutoka Sh trilioni 18.15 mwaka 2020/21…
Uchumi wa Tanzania umeimarika- Matinyi

Uchumi wa Tanzania umeimarika- Matinyi

DAR ES SALAAM: UCHUMI wa Tanzania umeendelea kuimarika kwa kukuwa kwa asilimia 5.2 kufuatia kuporomoka kutoka asilimia 7 hadi asilimia…
TPA yatoa ufafanuzi ajira DP World

TPA yatoa ufafanuzi ajira DP World

DAR ES SALAAM; MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema kuwa imewapa watumishi wake nafasi ya kuchagua ama kubaki…
Gavana BoT atoa maelekezo maduka fedha za kigeni

Gavana BoT atoa maelekezo maduka fedha za kigeni

ARUSHA: BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wamiliki wa hoteli za nyota tatu hadi tano nchini kuhakikisha hadi ifikapo Julai…
Back to top button