Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Kilimanjaro waaswa kuacha matumizi mabaya ya fedha

Kilimanjaro waaswa kuacha matumizi mabaya ya fedha

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amewaasa wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro kuacha matumizi mabaya ya fedha, huku wengine…
TRA yakusanya bil 92/- miezi sita Kagera

TRA yakusanya bil 92/- miezi sita Kagera

KAGERA:MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Kagera imekusanya Sh bilioni 92.3 kwa kipindi cha Julai – Desemba sawa na asilimia…
‘Elimu ya fedha itachochea maendeleo yetu kiuchumi’

‘Elimu ya fedha itachochea maendeleo yetu kiuchumi’

Wananchi wa Kata ya Makanya, Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro, wameipongeza Serikali kwa kuwapelekea elimu ya fedha ambayo inatarajia kuwa…
Tutuba aisifu Selcom Pesa mapinduzi huduma za kifedha

Tutuba aisifu Selcom Pesa mapinduzi huduma za kifedha

BENKI ya Selcom Microfinance Tanzania Limited imezindua rasmi huduma yake mpya ya kifedha ya kidigitali ijulikanayo kama SELCOM PESA, inayolenga…
STEM kuchagiza ushiriki, maendeleo ya kijamii, kiuchumi

STEM kuchagiza ushiriki, maendeleo ya kijamii, kiuchumi

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Daniel Mushi amesema Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake…
Wadau wa kodi wataka haki mizozo na TRA

Wadau wa kodi wataka haki mizozo na TRA

MFUMO wa kodi nchini Tanzania una kazi kubwa kufadhili huduma za umma na maendeleo yakiwamo ya miundombinu nchini. Pamoja na…
TRA yakusanya bil 116/- Mtwara

TRA yakusanya bil 116/- Mtwara

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Mtwara imefanikiwa kukusanya Sh bilioni 116 kwa mwaka fedha 2023/2024. Hayo yamejiri wakati wa…
Wataalamu wa ununuzi, ugavi waaswa kuzingatia maadili

Wataalamu wa ununuzi, ugavi waaswa kuzingatia maadili

WATAALAMU wa sekta ya ununuzi wa umma wameaswa kuzingatia maadili ya taaluma ya fani yao katika usimamizi wa miradi ya…
Ulipaji kodi kidijiti wapigiwa chapuo

Ulipaji kodi kidijiti wapigiwa chapuo

MJADALA katika toleo lililopita ulibainisha kuwa, maboresho ya kodi na miundo ya ujumuishaji ya hatua kwa hatua ni muhimu katika…
Benki Kuu ya Uganda yapoteza Bilioni 62

Benki Kuu ya Uganda yapoteza Bilioni 62

UGANDA: POLISI nchini Uganda imethibitisha kuwashikilia maafisa tisa wa Wizara ya Fedha kwa uchunguzi wa tuhuma za kudukua mifumo ya…
Back to top button