Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Dar, TRA kuimarisha mazingira ya kodi Kariakoo

Dar, TRA kuimarisha mazingira ya kodi Kariakoo

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam ipo tayari kushirikiana na mamlaka…
Uboreshaji bandari unavyoinua uchumi wa watu Mtwara

Uboreshaji bandari unavyoinua uchumi wa watu Mtwara

ILI kuhakikisha Watanzania wanajikwamua kiuchumi, serikali inaendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu mbalimbali ya kutolea huduma ikiwemo bandari. Katika kuboresha…
Ulipaji kodi kwa awamu kuchochea urasimishaji

Ulipaji kodi kwa awamu kuchochea urasimishaji

KWA mujibu wa takwimu za Shirika la Kazi Duniani (ILO) za mwaka 2022, sekta isiyo rasmi nchini Tanzania imekuwa nguzo…
Kamati kuwafuatilia wanaojifanya Machinga

Kamati kuwafuatilia wanaojifanya Machinga

DAR ES SALAAM :WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo ameunda kamati ya watu 15 kwa ajili ya kufuatilia changamoto…
Sekta isiyo rasmi na mchango kiuchumi usiotambulika

Sekta isiyo rasmi na mchango kiuchumi usiotambulika

SEKTA isiyo rasmi Tanzania ndiyo nguzo ya uchumi wa taifa kwa kuwa inategemewa na mamilioni ya Watanzania kama njia muhimu…
Tanzania yang’ara sekta ya fedha Afrika

Tanzania yang’ara sekta ya fedha Afrika

TANZANIA inazidi kupata mafanikio kwenye sekta ya fedha, imefahamika. Kwa mujibu wa ripoti ya viashiria vya Masoko ya Fedha ya…
Wadau waomba kuangalia upya sheria za kodi

Wadau waomba kuangalia upya sheria za kodi

BAADHI ya wafanyabiashara wameiomba serikali kuangalia zaidi utitiri  wa sheria za kodi  zinazowakandamiza ikiwemo ushuru wa huduma (Service Levy) unaotozwa…
Mapendekezo mabadiliko ya kodi kuwezesha biashara

Mapendekezo mabadiliko ya kodi kuwezesha biashara

BIASHARA ndogo na za kati (SMEs) nchini Tanzania ndio damu ya uchumi ikichangia zaidi ya asilimia 35 katika Pato la…
Puma Energy Tanzania wampongeza Rais Samia mazingira uwekezaji

Puma Energy Tanzania wampongeza Rais Samia mazingira uwekezaji

DAR ES SALAAM; KAMPUNI ya Puma Energy Tanzania imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira bora na wezeshi…
Samia aanika wizi risiti za EFDs, stempu

Samia aanika wizi risiti za EFDs, stempu

RAIS Samia Suluhu Hassan ameanika namna baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu wanavyoghushi risiti za mashine za EFDs na stempu za…
Back to top button