Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Dk. Mwigulu – Jiungeni soko la hisa la DSM
January 24, 2025
Dk. Mwigulu – Jiungeni soko la hisa la DSM
DAR-ES-SALAAM: WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameipongeza Benki ya Azania kwa kuorodheshwa rasmi katika Soko la Hisa la Dar…
Wananchi wawezeshwa mikopo Pemba
January 24, 2025
Wananchi wawezeshwa mikopo Pemba
MIKOPO kwa njia ya kidijitali imeanza kutolewa na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) huku ikielezwa kuwa itawasaidia wananchi…
Changamoto, mbinu za kushinda vikwazo vya kodi katika biashara
January 24, 2025
Changamoto, mbinu za kushinda vikwazo vya kodi katika biashara
BIASHARA Ndogo na za Kati (SMEs) ndiyo moyo wa uchumi wa nchi kwa kuwa hufanya kazi kama kichocheo cha ukuaji,…
Samia acharuka ukwepaji kodi
January 24, 2025
Samia acharuka ukwepaji kodi
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kodi ya serikali lazima ilipwe na asitokee mtu yeyote anayetaka kukwepa kulipa kodi kwa kisingizio…
TIC yasajili miradi 16 ya bilioni 1/- Shinyanga
January 23, 2025
TIC yasajili miradi 16 ya bilioni 1/- Shinyanga
MWENYEKITI wa Bodi ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC ) Binilith Mahenge ameeleza Mkoa wa Shinyanga umekuwa ukifanya vizuri katika…
Serikali yahamasisha utumiaji huduma za fedha vijijini
January 23, 2025
Serikali yahamasisha utumiaji huduma za fedha vijijini
SERIKALI imebainisha kuwa itaendelea na utoaji wa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini ili kuwawezesha…
Wananchi Karatu watakiwa kuwa makini huduma za fedha
January 23, 2025
Wananchi Karatu watakiwa kuwa makini huduma za fedha
WANANCHI wa Wilaya ya Karatu jijini Arusha, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanatumia Taasisi za fedha zilizosajiliwa ambazo zinazingatia sheria, kanuni na…
Usajili wa wawekezaji TIC waongezeka asilimia 44
January 22, 2025
Usajili wa wawekezaji TIC waongezeka asilimia 44
KITUO Cha Uwekezaji Nchini (TIC) kimesema mwamko wa usajili wa miradi ya wawekezaji umeongezeka kutoka wawekezaji 500 kwa mwaka 2023…
TRA yakusanya Sh bilioni 71.5 kwa miezi sita Kariakoo
January 19, 2025
TRA yakusanya Sh bilioni 71.5 kwa miezi sita Kariakoo
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh bilioni 71.5 sawa na asilimia 104 katika kipindi cha miezi…
Wadau wataka somo la kodi liwepo shuleni
January 17, 2025
Wadau wataka somo la kodi liwepo shuleni
WADAU wa Maendeleo mkoani Shinyanga wameeleza suala la kodi lianze kufundishwa mashuleni ili kuondoa kero na changamoto zinazojitokeza hasa ukwepaji…