Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Jafo: Kuzuia wageni biashara 15 si ubaguzi
August 13, 2025
Jafo: Kuzuia wageni biashara 15 si ubaguzi
SERIKALI imesema amri ya kuzuia wasio raia wa Tanzania kufanya biashara za aina 15 si ubaguzi na haiwazuii kuwekeza nchini.…
Handeni Mji yaalika awekezaji kuwekeza mradi wa kuchakata mawe
August 12, 2025
Handeni Mji yaalika awekezaji kuwekeza mradi wa kuchakata mawe
TANGA: HALMASHAURI ya Mji Handeni, mkoani Tanga, imetoa wito kwa wawekezaji kujitokeza kuwekeza katika mradi wa kuchakata mawe na kokoto…
TADB yamshukuru Rais Samia kuiwezesha kukuza mtaji
August 8, 2025
TADB yamshukuru Rais Samia kuiwezesha kukuza mtaji
BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), imemshukuru Rais wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan kwa kuwekeza katika uwezeshaji wakulima…
Wajasiriamali Tandahimba wapongeza uwepo wa Nanenane
August 8, 2025
Wajasiriamali Tandahimba wapongeza uwepo wa Nanenane
MTWARA: BAADHI ya wajasiliamali wadogo wanawake katika Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara wameipongeza serikali kwa kuendeleza maadhimisho ya…
Sangweni: Mfungamano gesi asilia, kilimo utaongeza tija
August 7, 2025
Sangweni: Mfungamano gesi asilia, kilimo utaongeza tija
DODOMA: ENDAPO sekta za gesi asilia na kilimo zitafungamanishwa vema zitaongeza tija katika uchumi kwani zinategemeana. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka…
TAMWA yazindua mradi wa ufugaji nyuki
August 7, 2025
TAMWA yazindua mradi wa ufugaji nyuki
DAR-ES-SALAAM : CHAMA cha Wanawake Waandishi wa Habari Tanzania (TAMWA) kimezindua mradi mpya wa ufugaji wa nyuki katika Kijiji cha…
DART yasaini mikataba kuleta mabasi 932
August 5, 2025
DART yasaini mikataba kuleta mabasi 932
DAR ES SALAAM; WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), umesaini mikataba na watoa huduma binafsi kwa ajili ya kuleta mabasi…
‘Shamba ni Mali’ yazinduliwa kukabili changamoto za wakulima
August 2, 2025
‘Shamba ni Mali’ yazinduliwa kukabili changamoto za wakulima
Dar es Salaam: Mavuno hafifu yanayosababishwa na matumizi ya mbolea na viuatilifu bandia, mabadiliko ya ghafla ya mvua, ukosefu wa…
Mpango ataka vijana wafuga samaki wasaidiwe
August 1, 2025
Mpango ataka vijana wafuga samaki wasaidiwe
DODOMA — Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango, Ijumaa aliiagiza Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuwawezesha vijana wanaojihusisha na ufugaji…
Samia: EACLC itachochea ufanisi Bandari Dar
August 1, 2025
Samia: EACLC itachochea ufanisi Bandari Dar
DAR ES SALAAM: RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa uzinduzi wa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) ni…