Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Jafo: Kuzuia wageni biashara 15 si ubaguzi

Jafo: Kuzuia wageni biashara 15 si ubaguzi

SERIKALI imesema amri ya kuzuia wasio raia wa Tanzania kufanya biashara za aina 15 si ubaguzi na haiwazuii kuwekeza nchini.…
Handeni Mji yaalika awekezaji kuwekeza mradi wa kuchakata mawe

Handeni Mji yaalika awekezaji kuwekeza mradi wa kuchakata mawe

TANGA: HALMASHAURI ya Mji Handeni, mkoani Tanga, imetoa wito kwa wawekezaji kujitokeza kuwekeza katika mradi wa kuchakata mawe na kokoto…
TADB yamshukuru Rais Samia kuiwezesha kukuza mtaji

TADB yamshukuru Rais Samia kuiwezesha kukuza mtaji

BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), imemshukuru Rais wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan kwa kuwekeza katika uwezeshaji wakulima…
Wajasiriamali Tandahimba wapongeza uwepo wa Nanenane

Wajasiriamali Tandahimba wapongeza uwepo wa Nanenane

MTWARA: BAADHI ya wajasiliamali wadogo wanawake katika Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara wameipongeza serikali kwa kuendeleza maadhimisho ya…
Sangweni: Mfungamano gesi asilia, kilimo utaongeza tija

Sangweni: Mfungamano gesi asilia, kilimo utaongeza tija

DODOMA: ENDAPO sekta za gesi asilia na kilimo zitafungamanishwa vema zitaongeza tija katika uchumi kwani zinategemeana. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka…
TAMWA yazindua mradi wa ufugaji nyuki

TAMWA yazindua mradi wa ufugaji nyuki

DAR-ES-SALAAM : CHAMA cha Wanawake Waandishi wa Habari Tanzania (TAMWA) kimezindua mradi mpya wa ufugaji wa nyuki katika Kijiji cha…
DART yasaini mikataba kuleta mabasi 932

DART yasaini mikataba kuleta mabasi 932

DAR ES SALAAM; WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), umesaini mikataba na watoa huduma binafsi kwa ajili ya kuleta mabasi…
‘Shamba ni Mali’ yazinduliwa kukabili changamoto za wakulima

‘Shamba ni Mali’ yazinduliwa kukabili changamoto za wakulima

Dar es Salaam: Mavuno hafifu yanayosababishwa na matumizi ya mbolea na viuatilifu bandia, mabadiliko ya ghafla ya mvua, ukosefu wa…
Mpango ataka vijana wafuga samaki wasaidiwe

Mpango ataka vijana wafuga samaki wasaidiwe

DODOMA — Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango, Ijumaa aliiagiza Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuwawezesha vijana wanaojihusisha na ufugaji…
Samia: EACLC itachochea ufanisi Bandari Dar

Samia: EACLC itachochea ufanisi Bandari Dar

DAR ES SALAAM: RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa uzinduzi wa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) ni…
Back to top button