Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

“Serikali inatambua mchango wa sekta binafsi uwekezaji”

“Serikali inatambua mchango wa sekta binafsi uwekezaji”

SERIKALI inatambua mchango wa sekta binafsi katika uwekezaji na imeendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara kupitia utekelezaji wa Mpango…
Vodacom, Sanlam zaja na mpango wa kuwekeza kidijitali

Vodacom, Sanlam zaja na mpango wa kuwekeza kidijitali

DAR ES ES SALAAM: Kampuni ya mawasiliano, Vodacom Tanzania Plc imeungana  kwa kushirikiana na Sanlam Investments East Africa Limited, leo…
SBL yapaisha viwango vya sekta ya ukarimu kimataifa

SBL yapaisha viwango vya sekta ya ukarimu kimataifa

DAR ES SALAAM: Wanafunzi wanaosomea fani ya ukarimu katika Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) sasa watapata mafunzo ya ziada…
Tuzo ya uzalendo ulipaji kodi yaja

Tuzo ya uzalendo ulipaji kodi yaja

SERIKALI ina jukumu kubwa la kuweka mikakati ya kuendelea kurasimisha biashara nchini na kuhamasisha utumiaji wa mashine za kielektroniki katika…
Kampuni Kenya yakamilisha umiliki wa ISP Habari ya Arusha

Kampuni Kenya yakamilisha umiliki wa ISP Habari ya Arusha

NAIROBI: Kampuni ya utoaji huduma ya mtandao ya Kenya, Mawingu imeitwaa kampuni ya IPS Habari yenye makao makuu jijini Arusha…
Serikali yaita wawekezaji kutoka Japan

Serikali yaita wawekezaji kutoka Japan

SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Japan huku ikitoa wito kwa kampuni za Japan kuja kuwekeza nchini katika maeneo mbalimbali…
 Vikwazo 18 biashara ya kuvuka mpaka vyaainishwa

 Vikwazo 18 biashara ya kuvuka mpaka vyaainishwa

VIKWAZO  18 visivyo vya kikodi vimeainishwa vikielezwa kuwa vimekuwa changamoto kubwa na kuzuia kukua kwa biashara ya kuvuka mpaka kwa…
“Wadau Takwimu Rasmi shirikianeni na Serikali”

“Wadau Takwimu Rasmi shirikianeni na Serikali”

NAIBU Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande, ametoa rai kwa wadau wote wa sekta ya Takwimu Rasmi kushirikiana na Serikali…
TIRA yahimizwa kufanya kazi kidigitali

TIRA yahimizwa kufanya kazi kidigitali

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imezindua taarifa ya utendaji wa soko la bima huku ikihimizwa kuimarisha matumizi ya…
Back to top button