Uchumi

Waziri aeleza faida malipo kwa mtandao

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Saada Mkuya Salum amesema kuzinduliwa kwa mfumo wa kufanya…

Soma Zaidi »

TRA yataka wafanyabiashara wasiogope kodi

GEITA; MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Geita, imewataka wafanyabishara kufanya biashara zao bila woga wa sheria ya kodi,…

Soma Zaidi »

Samia: Tanzania, Zambia zisishindane, ziwezeshane

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Zambia zisishindane ila ziwezeshane kibiashara ili kujikomboa kiuchumi. Pia Rais Samia ameunga mkono…

Soma Zaidi »

Mkataba uwekezaji bandari ni wa miaka 30

DODOMA; SERIKALI imeingia mkataba wa miaka 30 na Kampuni ya DP World ya kuendesha bandari ya Dar es Salaam. Mikataba…

Soma Zaidi »

‘Milango ipo wazi sekta binafsi kuwekeza’

DODOMA: SERIKALI imesema maendeleo ya nchi ni shirikishi, hivyo milango ipo wazi kwa sekta binafsi kuwekeza nchini na kufanya biashara.…

Soma Zaidi »

Samia: Mkataba bandari unaenda kuongeza mapato

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan amesema mikataba iliyoingiwa kati Serikali na kampuni ya DP World ya nchini Dubai, inaenda kuongeza…

Soma Zaidi »

Taarifa ya Mkurugenzi Mkuu TPA hafla utiaji saini uwekezaji bandari

Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Rais…

Soma Zaidi »

Hafla Utiaji saini uendeshaji bandari

DODOMA;Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akiwa pamoja na Katibu Mkuu wa wizara hiyo Profesa Godius Kahyarara wakitia saini Mkataba…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara waitwa maonesho Tunduma

SONGWE. Tunduma. MKUU wa Wilaya ya Momba, Kenani Kihongos amewakaribisha wawekezaji kutoka mikoa mbalimbali ndani ya nchi  na wengine kutoka…

Soma Zaidi »

Kumekucha usafirishaji korosho Mtwara

MTWARA; MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA), imeanza kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kusafirisha korosho zinazozalishwa…

Soma Zaidi »
Back to top button