Uchumi

Tanesco kateni umeme kwa wote wanaodaiwa

ARUSHA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukata umeme kwa…

Soma Zaidi »

‘Tuzo za watendaji, wakuu wa kampuni 100 bora kuchochea ufanisi’

DAR ES SALAAM: TUZO za wakuu na watendaji wa makampuni 100 bora hapa nchini zimetajwa kuwa ni njia sahihi ya…

Soma Zaidi »

Wakulima mil 3.7 wasajiliwa mfumo wa mbolea ya ruzuku

DAR ES SALAAM: ZAIDI ya wakulima milioni 3.66 wamesajiliwa kwenye mfumo wa kidijiti wa mbolea ya ruzuku nchini hadi sasa…

Soma Zaidi »

Ziara ya Samia India yaanza kulipa

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi Mambo ya Nje na Masuala ya Bunge wa India, Shri Muraleedharan amewataka wawekezaji kutoka…

Soma Zaidi »

Serikali yatangaza Neema kwa Wanawake

DAR ES SALAAM: SERIKALI imesema itaendelea kuwainua wanawake kwenye sekta mbalimbali ili waweze kujikwamua kiuchumi kufikia maendeleo. Hayo yamesemwa, Jijini…

Soma Zaidi »

Kituo cha biashara EAC kuanza kazi Juni

DAR ES SALAAM; ZAIDI ya wafanyabiashara 2000 wanatarajia kunufaika na Kituo cha Biashara cha Afrika Mashariki kilichopo Ubungo jijini Dar…

Soma Zaidi »

Hali ni tete sekta ya Uvuvi

DAR ES SALAAM: Wadau wa Uvuvi nchini wamesema tatizo la uchafuzi wa mazingira ya bahari bado ni changamoto kubwa ya…

Soma Zaidi »

Wizara ya kilimo yafungua fursa kilimo cha Chai

DAR ES SALAAM: NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Hussein Mohamed Omar amewataka viongozi pamoja na wakulima kuendelea kuongeza…

Soma Zaidi »

Katavi kujitegemea maonesho ya Nanenane 2024

KATAVI: Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Onesmo Buswelu ameagiza kuundwa kwa kamati maalumu itakayoratibu mchakato wa maandalizi ya…

Soma Zaidi »

Mvua zakimbiza samaki

SAMAKI aina ya dagaa mchele na saladini wameadimika katika soko la Kimataifa la Samaki Feri mkoani Dar es Salaam na…

Soma Zaidi »
Back to top button