Uchumi

Serikali yatangaza Neema kwa Wanawake

DAR ES SALAAM: SERIKALI imesema itaendelea kuwainua wanawake kwenye sekta mbalimbali ili waweze kujikwamua kiuchumi kufikia maendeleo. Hayo yamesemwa, Jijini…

Soma Zaidi »

Kituo cha biashara EAC kuanza kazi Juni

DAR ES SALAAM; ZAIDI ya wafanyabiashara 2000 wanatarajia kunufaika na Kituo cha Biashara cha Afrika Mashariki kilichopo Ubungo jijini Dar…

Soma Zaidi »

Hali ni tete sekta ya Uvuvi

DAR ES SALAAM: Wadau wa Uvuvi nchini wamesema tatizo la uchafuzi wa mazingira ya bahari bado ni changamoto kubwa ya…

Soma Zaidi »

Wizara ya kilimo yafungua fursa kilimo cha Chai

DAR ES SALAAM: NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Hussein Mohamed Omar amewataka viongozi pamoja na wakulima kuendelea kuongeza…

Soma Zaidi »

Katavi kujitegemea maonesho ya Nanenane 2024

KATAVI: Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Onesmo Buswelu ameagiza kuundwa kwa kamati maalumu itakayoratibu mchakato wa maandalizi ya…

Soma Zaidi »

Mvua zakimbiza samaki

SAMAKI aina ya dagaa mchele na saladini wameadimika katika soko la Kimataifa la Samaki Feri mkoani Dar es Salaam na…

Soma Zaidi »

‘Kuna pengo kubwa viongozi na wananchi’

MKURUGENZI wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema, lipo pengo kubwa kati ya viongozi…

Soma Zaidi »

‘Fursa bandari Dar itachochea kukuza uchumi’

DAR ES SALAAM; Serikali imesema uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam utaiwezesha Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), kuongeza mapato…

Soma Zaidi »

Wakurugenzi, Ma-RC kueleza utekelezaji majukumu yao

DAR ES SALAAM; Idara ya Habari (Maelezo), imeandaa programu maalum ya kuwakutanisha Wakuu wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri zote kwenye…

Soma Zaidi »

Watakiwa kuzingatia weledi, usiri ukusanyaji taarifa

KATIBU Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dk Hashil Abdallah, amewatahadharisha wadadisi na wasimamizi wa utafiti wa shughuli za kiuchumi…

Soma Zaidi »
Back to top button