Uchumi

Bodi kuleta bei shindani ya mazao

BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi Ghalani nchini imeeleza mfumo wa stakabadhi hauna lengo la kupandisha bei wala kupunguza katika ununuzi…

Soma Zaidi »

Uchumi wadorora Uingereza

UCHUMI wa Uingereza umeingia rasmi katika mdororo, takwimu zinaonesha. Mdororo wa uchumi unafafanuliwa kama vipindi viwili vya miezi mitatu mfululizo…

Soma Zaidi »

Mikakati kuongeza soko la samaki

DODOMA: Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amesema wizara yake itaendelea kushirikiana na Ofisi ya Rais…

Soma Zaidi »

Tanzania, AfDB zaungana kutekeleza miradi ya nishati

DODOMA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeonesha nia…

Soma Zaidi »

Mambo safi Bandari Dar es Salaam

SHUGHULI za kiuendeshaji katika Bandari ya Dar es Salaam zinaendelea vyema huku gati zote ndani ya bandari hiyo zikiendelea na…

Soma Zaidi »

Stamico yatakiwa kujikita kwenye umeme

WAZIRI wa Madini,Anthony Mavunde amelitaka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kujikita katika kusaidia upatikanaji wa umeme wa uhakika kupitia…

Soma Zaidi »

Bashe ataja sababu upungufu wa sukari,tani100,000 zaagizwa

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hali uzalishaji wa sukari katika viwanda saba nchini imeshuka hadi kufikia tani 1,000 kwa…

Soma Zaidi »

Wadakwa kwa pesa bandia

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata watu wanne wakiwa na noti za bandia zenye thamani ya sh milioni 1.5…

Soma Zaidi »

TIC: Changamkieni fursa za uwekezaji

ARUSHA;  Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC) kimewataka wawekezaji wazawa pamoja na wageni kuchangamkia fursa za uwekezaji zitakazowezesha vijana kupata ajira. Hayo…

Soma Zaidi »

Wazee Arusha watakiwa kuichunga mashine ya kusaga

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha, Willfred Ole Soileli amewaomba wazee wa kata ya Moshono ndani ya…

Soma Zaidi »
Back to top button