Uchumi

Uvuvi haramu waondoka na Kaimu Mkurugenzi Uvuvi

DAR ES SALAAM; Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ameelekeza kuondolewa katika nafasi yake Kaimu Mkurugenzi wa Uvuvi, Stephen…

Soma Zaidi »

Waziri Ulega atoa maelekezo uvuvi haramu

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Abdalah Ulega amemuagiza Mkurugenzi wa Uvuvi, Profesa Mohamed Sheikh kushirikiana na vyombo vya ulinzi na…

Soma Zaidi »

Watakiwa kusajili bidhaa zao

ARUSHA; WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), amewataka wavumbuzi wa vifaa,dawa na bidhaa nyingine kuhakikisha wanasajili bidhaa zao…

Soma Zaidi »

Mauzo ya Korosho yatengeneza Sh.Bil 461.8

MTWARA; JUMLA ya tani 208,000 za korosho ghafi zimeuzwa na kuingiza kiasi cha Sh bilioni 461.8  kwa msimu wa 2023/2024.…

Soma Zaidi »

Bandari ya Mtwara kufungua zaidi mauzo ya Korosho

MTWARA: Bandari ya Mtwara inatarajia kupokea meli tisa zenye makasha matupu zaidi ya 2,758 kwa ajili ya kupakia korosho ghafi…

Soma Zaidi »

MSD Mlipa Kodi Bora mwaka 2023

DAR ES SALAAM: Bohari ya Dawa (MSD), imetwaa tuzo ya Mlipakodi Bora kwa mwaka 2023 ya Mamlaka ya Kodi Tanzania.…

Soma Zaidi »

Tanesco kateni umeme kwa wote wanaodaiwa

ARUSHA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukata umeme kwa…

Soma Zaidi »

‘Tuzo za watendaji, wakuu wa kampuni 100 bora kuchochea ufanisi’

DAR ES SALAAM: TUZO za wakuu na watendaji wa makampuni 100 bora hapa nchini zimetajwa kuwa ni njia sahihi ya…

Soma Zaidi »

Wakulima mil 3.7 wasajiliwa mfumo wa mbolea ya ruzuku

DAR ES SALAAM: ZAIDI ya wakulima milioni 3.66 wamesajiliwa kwenye mfumo wa kidijiti wa mbolea ya ruzuku nchini hadi sasa…

Soma Zaidi »

Ziara ya Samia India yaanza kulipa

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi Mambo ya Nje na Masuala ya Bunge wa India, Shri Muraleedharan amewataka wawekezaji kutoka…

Soma Zaidi »
Back to top button