Uchumi

Tanzania yaondolewa kwenye orodha ya madeni makubwa

TANZANIA imeanza vizuri mwaka 2024 baada ya kuondolewa kwenye orodha ya nchi zenye madeni makubwa Afrika. Taarifa ya Mfuko wa…

Soma Zaidi »

Kinana ataja mwarobaini tatizo la ajira

ARUSHA: MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amezihimiza taasisi za kijamii kuweka mkazo katika elimu…

Soma Zaidi »

Bashe aahidi neema kwa wakulima nchini

DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Tanzania imetoa wito kwa wawekezaji wa ndani katika sekta ya kilimo kutumia teknolojia za kisasa…

Soma Zaidi »

Umeme maporomoko Rusumo wafikia asilimia 99.9

MWANZA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuwa, mradi wa maporomoko ya umeme wa Rusumo…

Soma Zaidi »

Samia awapa CTI mbinu ya ushindi

DAR ES SALAAM: RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka wazalishaji wa bidhaa kupitia Shirikisho la Wenye Viwanda Nchini (CTI) kuendelea kuimarisha…

Soma Zaidi »

TACRI yajivunia utafiti zao la kahawa Kagera

KAGERA: Taasisi ya utafiti wa zao la kahawa TACRI Kanda ya Kagera imeanza kujivunia mafanikio ya utafiti uliofanyika mwaka 2004…

Soma Zaidi »

Randin: Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa SDC azuru Tanzania

Mkurugenzi Mkuu Msaidizi na Mkuu wa Kitengo cha Kusini mwa Jangwa la Sahara wa Shirika la Maendeleo na Ushirikiano la…

Soma Zaidi »

VIJANA KATIKA KILIMO: Programu ya kilimo viwanda yaleta mabadiliko kupitia kilimo

Tanzania, inayojulikana kwa mandhari yake ya kuvutia na urithi wake tajiri wa kitamaduni, pia ni nyumbani kwa sekta ya kilimo…

Soma Zaidi »

TRA yasisitiza matumizi sahihi risiti za EFD

MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), imewasisitiza wafanyabiashara kutambua kuwa matumizi sahihi ya Mashine za Risiti za Kielektroniki (EFD) ndio njia…

Soma Zaidi »

Serikali yazungumzia ushiriki wa Tanzania mkutano Dubai

DUBAI; SERIKALI ya Tanzania inashiriki Mkutano wa 28 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya…

Soma Zaidi »
Back to top button