Uchumi

Serikali yakabidhiwa boti mbili ziwa victoria

MWANZA: Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekabidhiwa boti mbili kutoka Taasisi ya Uvuvi ya Ziwa Victoria (LVFO) ya…

Soma Zaidi »

Wanunuzi wa Pamba wampa 5 Rais Samia Mradi wa BBT

SIMIYU: Chama cha wanunuzi wa pamba nchini (TCA) kimemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuanzisha mradi wa Jenga kesho iliyo…

Soma Zaidi »

“Tanzania imepiga jeki uchumi nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara”

DAR ES SALAAM: TANZANIA imekua kitovu cha uwekezaji na kusababisha ukuaji wa uchumi katika nchi za Kusini mwa Jangwa la…

Soma Zaidi »

Makusanyo ya Kodi yapo chini – Dk Mpango

DAR ES SALAAM: Serikali imesema kwa muongo mmoja toka mwaka 2010 hadi 2023 makusanyo ya kodi yamekuwa chini ya asilimia…

Soma Zaidi »

Serikali kudhibiti mfumuko wa bei

DAR ES SALAAM: Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema mfumuko wa bei nchini umeendelea kudhibitiwa ambapo kwa kipindi cha…

Soma Zaidi »

Biashara ya mbaazi Tanzania, India mambo safi

NEW DELHI, India: TANZANIA imeruhusiwa kuiuzia India kiasi cha mbaazi inachoweza kuanzia sasa hadi Machi 2025. Makubaliano hayo yamefikiwa leo Februari…

Soma Zaidi »

Silinde: Watafiti wa kilimo ongezeni kasi

MOROGORO: WATAFITI wa kilimo nchini wametakiwa kuongeza kasi katika kufanya tafiti za kilimo kwa kuwa upo uhitaji wa upatikanaji wa…

Soma Zaidi »

Rais Samia kubariki Jukwaa la kodi na uwekezaji

ARUSHA; RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufungua jukwaa la kodi na uwekezaji mwaka huu, lililoandaliwa na Wizara ya Fedha kwa…

Soma Zaidi »

Mitambo 2 kuzalisha umeme kuwashwa JNHPP Machi

TANGA; Makamu wa Rais  Dk. Philip Mpango, amesema  mwezi Machi mwaka huu itawashwa mitambo miwili ya kuzalisha umeme katika Bwawa…

Soma Zaidi »

Suluhu la umeme migodini kupatikana

DODOMA: Serikali kupitia Wizara ya Madini imeanza mazungumzo na Kampuni ya TAQWA-DALBIT kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa upatikanaji…

Soma Zaidi »
Back to top button