Uwekezajia

Wawekezaji wapatiwa leseni wakishauriwa mambo 10

WATOA huduma za uwekezaji nchini 110 wamepatiwa leseni huku wakiaswa mambo 10 ikiwemo kuwashika mkono wawekezaji wa ndani ili kutimiza…

Soma Zaidi »

Kihenzile akoshwa maendeleo miradi Kigoma

KIGOMA: NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amesema maendeleo ya mradi wa ukarabati wa Meli ya MV Liemba mkoani Kigoma…

Soma Zaidi »

TRA yazionya bandari kavu

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema itawachukulia hatua za kisheria wamiliki wa kampuni za bandari kavu zinazochochea ukwepaji wa malipo…

Soma Zaidi »

Mapinduzi sekta makazi mradi wa dola mil 250 ukizinduliwa Zanzibar

Zanzibar: Kampuni ya Infinity Developments imezindua rasmi mradi wa makazi na matumizi mchanganyiko wa Infinity Hills katika eneo la Kikwajuni, Stone…

Soma Zaidi »

Miradi ya PPP yashika kasi

UTEKELEZAJI wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/2022–2025/2026 umewezesha kuanza utekelezaji wa miradi mitano ya…

Soma Zaidi »

WGC kuisaidia Tanzania kuongeza thamani ya madini

DAR ES SALAAM: Wizara ya Madini imefanya mazungumzo ya kimkakati na World Gold Council (WGC) kwa lengo la kujadili namna…

Soma Zaidi »

Nyuma ya pazia safari ya mjasiriamali Lukosi

DAR ES SALAAM. Mjasiriamali Chris Lukosi anasema safari yake ya maisha imejengwa juu ya kanuni moja: kutokata tamaa. Akikumbuka kupoteza…

Soma Zaidi »

Lukosi ataja msingi wa falsafa za biashara zake

DAR ES SALAAM: Mjasiriamali wa Kitanzania anayeishi diaspora, Chris Lukosi, amesema mafanikio ya biashara hayawezi kutenganishwa na wajibu kwa jamii,…

Soma Zaidi »

Mjasiriamali aja na Lukosi Village

DAR ES SALAAM; Mjasiriamali wa Kitanzania anayeishi diaspora, Chris Lukosi, ametangaza mpango wa uwekezaji mkubwa wa makazi na biashara unaojulikana…

Soma Zaidi »

TISEZA kuanzisha madawati ya uwekezaji kwenye halmashauri

KAGERA: Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imewahaidi wawekezaji wazawa kuwa itaanzisha madawati ya uwekezaji kila…

Soma Zaidi »
Back to top button