Uwekezajia

Miradi ya PPP yashika kasi

UTEKELEZAJI wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/2022–2025/2026 umewezesha kuanza utekelezaji wa miradi mitano ya…

Soma Zaidi »

WGC kuisaidia Tanzania kuongeza thamani ya madini

DAR ES SALAAM: Wizara ya Madini imefanya mazungumzo ya kimkakati na World Gold Council (WGC) kwa lengo la kujadili namna…

Soma Zaidi »

Nyuma ya pazia safari ya mjasiriamali Lukosi

DAR ES SALAAM. Mjasiriamali Chris Lukosi anasema safari yake ya maisha imejengwa juu ya kanuni moja: kutokata tamaa. Akikumbuka kupoteza…

Soma Zaidi »

Lukosi ataja msingi wa falsafa za biashara zake

DAR ES SALAAM: Mjasiriamali wa Kitanzania anayeishi diaspora, Chris Lukosi, amesema mafanikio ya biashara hayawezi kutenganishwa na wajibu kwa jamii,…

Soma Zaidi »

Mjasiriamali aja na Lukosi Village

DAR ES SALAAM; Mjasiriamali wa Kitanzania anayeishi diaspora, Chris Lukosi, ametangaza mpango wa uwekezaji mkubwa wa makazi na biashara unaojulikana…

Soma Zaidi »

TISEZA kuanzisha madawati ya uwekezaji kwenye halmashauri

KAGERA: Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imewahaidi wawekezaji wazawa kuwa itaanzisha madawati ya uwekezaji kila…

Soma Zaidi »

Bandari ya Dar kuongeza idadi ya gati

DODOMA; SERIKALI imesema kutokana na ongezeko la meli na shehena kwa ujumla, Bandari ya Dar es Salaam inaendelea na mipango…

Soma Zaidi »

Sh Tril 477 kugharamia Mpango wa Maendeleo

DODOMA; SERIKALI imesema gharama za utekelezaji wa Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano zinakadiriwa kuwa Sh…

Soma Zaidi »

Prof. Mkumbo rasmi kusaka wawekezaji Uingereza

LONDON: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amewasili jijini London kuanza ziara rasmi…

Soma Zaidi »

Kapinga, Londo mguu sawa kuimarisha viwanda, biashara

DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga, ameongoza watumishi wa wizara hiyo kumpokea Naibu Waziri mpya, Denis Londo, huku…

Soma Zaidi »
Back to top button