Uwekezajia

Waomba ushuru kuingiza mabasi upunguzwe

WAMILIKI wa mabasi nchini, wameiomba serikali kupunguza ushuru wa kuingiza mabasi ambao umepanda kutoka Sh milioni 40 hadi milioni 90.…

Soma Zaidi »

Wawekezaji mawasiliano kuendelea kuungwa mkono

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema Serikali itaendelea kuunga mkono jitihada zinazofanywa na wawekezaji katika…

Soma Zaidi »

‘Kuanzishwe karakana ya taifa kuchakata ngozi’

WAHADHIRI katika Taasisi ya ufundi Stadi nchini Ethiopia (TVET) wameishauri Tanzania kuanzisha karakana ya taifa ya kuchakata ngozi, ili kuongeza…

Soma Zaidi »

Mkenda afanya mazungumzo na benki ya dunia

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda leo Machi 23, 2023 amekutana na Mkurugenzi wa Mkazi wa Benki…

Soma Zaidi »

Equity, ZEEA na SMIDA zaingia makubaliano kukopesha wajasiriamali bila riba

Benki ya Equity Tanzania imeingia makubaliano ya kufanya kazi na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZEEA) na Wakala wa Maendelo ya Viwanda Vidogo na…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara kampuni 100 China waja

WAFANYABIASHARA kutoka kampuni 100 nchini    China wanatarajiwa kuja Tanzania kwa lengo la kufanya mazungumzo na kampuni zilizopo nchini. Wafanyabiashara…

Soma Zaidi »

‘Tuboreshe miundombinu tuipaishe Bandari ya Karema’

CHANGAMOTO ya miundombinu hususani ya barabara na reli kutoka Mpanda kwenda eneo la Bandari ya Karema, iliyopo Wilaya ya Tanganyika…

Soma Zaidi »

Wabunge waagiza TSN, TBC walipwe madeni

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiagiza serikali ihakikishe taasisi zilizo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia…

Soma Zaidi »

Vijana watakiwa kuchangamkia mikopo kujiajiri

VIJANA wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo bila riba inayotolewa katika Halmashauri zote nchini, ikiwa ni hatua ya kukabiliana na ukosefu…

Soma Zaidi »

Samia aita wawekezaji Afrika Kusini

RAIS Samia Suluhu Hassan na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini wamekubaliana Tanzania na Afrika Kusini zikuze ushirikiano kwenye masuala…

Soma Zaidi »
Back to top button