Infographics

OleNgurumwa ataka lugha ya staha kuelekeka Uchaguzi Mkuu

DAR ES SALAAM: MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umehimiza uvumilivu wa kisiasa na matumizi ya lugha…

Soma Zaidi »

Serikali yaendelea kupeleka umeme migodini

NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea na utekelezaji wa miradi ya…

Soma Zaidi »

Tanzania, wadau kuweka kipaumbele usalama wa mgonjwa

UFILIPINO: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeuhakikishia Mkutano wa Saba (7) wa Mawaziri wa Afya ulimwenguni kuwa itaendelea…

Soma Zaidi »

Rais Samia kuzindua jengo la Mahakama ya Tanzania kesho

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua jengo la makao makuu ya Mahakama ya Tanzania kesho. Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Profesa…

Soma Zaidi »

Watu wazima 77% wana tatizo la kuoza meno

WIZARA ya Afya imesema asilimia 76.5 ya watu wazima kuanzia miaka 15 na kuendelea wana tatizo la kuoza meno wakati…

Soma Zaidi »

Nyota wa Injili kushiriki Tamasha la Uchaguzi

DAR ES SALAAM; MKURUGENZI wa Msama Promotion Alex Msama amesema mastaa wa muziki wa injili kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika…

Soma Zaidi »

Michuano ya tenisi Afrika kufanyika Dar

DAR ES SALAAM; Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mashindano ya tenisi ya vijana wenye umri chini ya miaka 14, yatakayofanyika…

Soma Zaidi »

Unywaji maziwa, ulaji mayai vijijini Changamoto – tafiti

WATAFITI kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wameeleza ya kwamba wananchi wengi wanaoishi vijijini katika Wilaya ya Kilombero…

Soma Zaidi »

MOI yafanya upasuaji ubongo kwa kutumia akili unde

Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza rasmi upasuaji wa ubongo kwa kutumia teknolojia ya akili unde…

Soma Zaidi »

Dawasa wapewa maagizo matano

NAIBU Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Christina Mndeme ametoa maagizo matano kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi…

Soma Zaidi »
Back to top button