Infographics

Israel, Hamas mambo safi

ISRAEL: ISRAEL na kundi la wanamgambo wa Hamas wamekamilisha zoezi la tano la kubadilishana mateka wa Israel kwa wafungwa wa…

Soma Zaidi »

Marekani yajipanga kuchukua udhibiti Gaza

MAREKANI : RAIS wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani itachukua udhibiti wa eneo la Gaza, ikiwa itafanikiwa kuimiliki. Kauli…

Soma Zaidi »

Tuzo imefika sehemu sahihi

DAR ES SALAAM: RAIS Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya ‘The Global Goalkeeper Award’ kutoka kwa Rais…

Soma Zaidi »

Tughe, taasisi zapongeza ongezeko likizo ya uzazi

DAR ES SALAAM: Chama wa Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kwa kushirikiana na Taasisi za Doris Mollel Foundation…

Soma Zaidi »

‘Stay humble’ Emirates pamoto

ENGLAND: Manchester City VS Arsenal: Septemba Uwanja wa Etihad Arsenal waliongoza, kisha Leandro Trossard akala umeme wakawa 10 Arsenal ikazidiwa…

Soma Zaidi »

Mwanafunzi aliyejinyonga kwa mtandio azikwa

MWILI wa mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Simiyu, Latifa Juma ,17, aliyepoteza maisha kwa kujinyonga kwa…

Soma Zaidi »

 Wanne kizimbani tuhuma za kujifanya maofisa wa serikali

WATU wanne wamepandisha kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka 49 yakiwemo kuongeza genge la uhalifu na…

Soma Zaidi »

Usafi sasa kila Jumamosi

DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo amesema kuwa zoezi la Usafi katika Halmashauri ya Jiji la…

Soma Zaidi »

Soko la Chuwini kuleta mapinduzi kiuchumi

ZANZIBAR: KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, CPA Amos Makalla amesema…

Soma Zaidi »

MOI yatunukiwa cheti huduma bora za maabara

MAABARA ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imetunukiwa cheti cha Ithibati cha ubora wa Kimataifa cha…

Soma Zaidi »
Back to top button