Infographics

Bodi ya Parole yaridhia msamaha wa wafungwa

ARUSHA: BODI ya Parole Taifa imeridhia wafungwa 118 kati ya 132 kunufaika msamaha wa vifungo kutokana na makosa mbalimbali waliyokutwa…

Soma Zaidi »

PPRA yatakiwa kusimamia uadilifu matumizi ya fedha

NAIBU Katibu Mkuu Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Mrope amewaagiza wafanyakazi wa mamlaka ya Udhibigi wa…

Soma Zaidi »

Kash Patel mkuu mpya FBI

MAREKANI: JUHUDI za utawala wa Rais Donald Trump katika kuimarisha usalama wa taifa na idara za usalama zimepiga hatua muhimu…

Soma Zaidi »

Msuva jela maisha kwa ubakaji

IRINGA: MAHAKAMA ya Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa, imemuhukumu Fredrick Msuva ,44, mkazi wa kijiji cha Ilutila, kifungo cha maisha…

Soma Zaidi »

Watano mbaroni biashara ya upatu mitandaoni

JESHI la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia watuhumiwa watano akiwemo Meneja wa Kampuni ya LBL Gerald Masanya ,31, kwa tuhuma za…

Soma Zaidi »

TPA yaagizwa usimamizi ujenzi matangi ya mafuta

SERIKALI imeiagiza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imsimamie mkandarasi anayejenga matangi 15 ya kuhifadhia mafuta ili mradi huo…

Soma Zaidi »

Watu 200 wauawa katika mashambulizi ya Sudan

ASKARI wa Sudan wameripotiwa kuwauwa zaidi ya watu 200 wakiwemo wanawake na watoto, katika siku tatu za mashambulizi kwenye vijiji…

Soma Zaidi »

NEMC, wadau kujadili uendelevu wa bahari

DAR ES SALAAM: BARAZA la Usimamizi wa Mazingira la Taifa (NEMC) limeanzisha jukwaa la kuwakutanisha na kuwashirikisha wadau wa masuala…

Soma Zaidi »

Tanzania, UNODC kukabiliana na uhalifu wa mazingira

SERIKALI ya Tanzania na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Uhalifu, Ofisi ya Kanda ya…

Soma Zaidi »

Papa ashindwa kuongeza misa

VATICAN: KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, leo Jumapili ameshindwa kuongoza misa kama ilivyo kawaida yake kutokana na matatizo…

Soma Zaidi »
Back to top button