Infographics

Kampeni ya Samia yapokea migogoro 3,912 mikoa sita

KAMPENI ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kwenye mikoa ya Arusha, Mbeya, Mwanza, Lindi, Rukwa, Pwani imewafikia na kuwapatia…

Soma Zaidi »

Wanafunzi washauriwa kununua vitabu mitaala mipya

TAASISI ya Elimu Tanzania (TET)imetoa rai kwa wazazi na walezi wenye watoto wanaosoma madarasa ya awali, msingi, sekondari ,vyuo pamoja…

Soma Zaidi »

Viwanda kinara miradi mingi TIC minne ya Samia

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesema sekta ya viwanda imeongoza kusajili miradi mingi katika kipindi cha uongozi wa Serikali ya…

Soma Zaidi »

Tanroads yafafanua urefu barabara ya Bagamoyo

TANGA : MTENDAJI Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Mohamed Besta amesema barabara ya Bagamoyo Mukurunge Pangani- Saadani na Tanga iliyowekwa jiwe…

Soma Zaidi »

Samia, Mpango watoa pole familia aliyechanganya udongo wa Muungano

RAIS Samia Suluhu Hassan na Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango wametoa salamu za rambirambi kutokana na kifo cha miongoni…

Soma Zaidi »

Watuhumiwa nyara za serikali wakamatwa

JESHI la polisi mkoani Kagera linawashikilia watu watano kutoka sehemu tofauti Tuhuma za kukutwa na nyara za serikali. Kamanda wa…

Soma Zaidi »

Bossi FBI: Msijibu ’emails’ za Musk

WASHINGTON: MKURUGENZI mpya wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI), Kash Patel amewataka wafanyakazi wa shirika hilo kutojibu barua pepe…

Soma Zaidi »

Nchi zinazozalisha kahawa zakubaliana mambo manne

NCHI 25 zinazozalisha kahawa Afrika zimekubaliana kushirikiana kufanya tafiti na kuongeza thamani ya zao hilo ili kupata mavuno bora na…

Soma Zaidi »

Wasioendeleza vitalu uchimbaji madini hatarini kupokwa maeneo

MOROGORO: MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amewaagiza wawekezaji waliochukua vitalu vya uchimbaji madini kwa muda mrefu mkoani humo…

Soma Zaidi »

Serikali kuingiza bil 2.5/-uwindaji wa kitalii

DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Tanzania inatarajia kuingiza Dola 968,000 sawa na Sh bilioni 2.5 na mapato mengine kama ada…

Soma Zaidi »
Back to top button