Kimataifa

Jeshi la Israel lashambulia Gaza

ISRAEL : JESHI la Israel limefanya mashambulizi ya anga katikati na kusini mwa Gaza, likilenga wanamgambo waliokuwa wakijaribu kutega mabomu…

Soma Zaidi »

Rwanda yavunja uhusiano na Ubelgiji

KIGALI : SERIKALI ya Rwanda imetangaza kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Ubelgiji, ikidai kuwa Ubelgiji imekuwa ikiidhoofisha Rwanda wakati wa…

Soma Zaidi »

Rais Kagame ailaumu Ubelgiji kuchonganisha Afrika

RWANDA : RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, ameilaumu Ubelgiji kwa kuchonganisha Rwanda na mataifa mengine ya Afrika, na kusema yuko…

Soma Zaidi »

Trump apanga kukutana Vladimir Putin

MAREKANI : RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa atazungumza na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kesho Jumanne kuhusu juhudi…

Soma Zaidi »

DRC yakubali kutuma ujumbe Angola

DR CONGO : SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imepanga kutuma ujumbe nchini Angola Jumanne hii kwa ajili…

Soma Zaidi »

Israel yasitisha huduma ya umeme Gaza

ISRAEL : SERIKALI ya Israel imesitisha usambazaji wa umeme katika Ukanda wa Gaza huku ikijaribu kuishinikiza Hamas kukubali kuongezwa muda…

Soma Zaidi »

Niko tayari kurejesha amani Ukraine- Zelensky

UKRAINE : RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema kuwa muafaka wa amani na Urusi unaweza kufikiwa endapo Urusi itakubaliana kurejesha…

Soma Zaidi »

Viongozi wa kiarabu kuijenga Gaza mpya

CAIRO: VIONGOZI wa Kiarabu wamepitisha mpango wa Misri wa kuijenga upya Gaza, utakaogharimu dola bilioni 53. Mpango huo utazuia kuwahamisha…

Soma Zaidi »

Ujerumani kusitisha misaada Rwanda

UJERUMANI : SERIKALI ya Ujerumani imesema imepanga kusitisha misaada mipya kwa Rwanda kutokana na mashambulizi ya kundi la M23 mashariki…

Soma Zaidi »

Deby anyakua viti 43 kati 46 vya seneti

CHAD: CHAMA cha kiongozi wa kijeshi wa Chad, Mahamat Idriss Deby, cha Deby’s Patriotic Salvation Movement (MPS), kimeshinda viti 43…

Soma Zaidi »
Back to top button