Kimataifa

M23 wasonga mbele , Rwanda yatahadharisha

CONGO: WAASI wa M23 wameripotiwa kuendelea kusonga mbele kuelekea mji wa Bukavu, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huku…

Soma Zaidi »

Ndege yaanguka , wafanyakazi 20 wafariki dunia

SUDAN KUSINI : NDEGE ndogo iliyokuwa ikibeba wafanyakazi wa kisima cha mafuta kilichopo Jimbo la Unity, Sudan Kusini, imeanguka na…

Soma Zaidi »

INDIA : Mkanyagano wa Ibada wauwa watu 15

INDIA : ZADI ya watu 15 wamefariki kwenye mkanyagano katika mkusanyiko mkubwa wa kidini  huku wengine wakijeruhiwa. Mahujaji wa kihindu…

Soma Zaidi »

Rais Tshisekedi hatohudhuria mkutano wa EAC

CONGO : NAIBU Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano cha Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Giscard Kusema,…

Soma Zaidi »

Rwanda,Marekani wakubaliana kumaliza mgogoro Congo

RWANDA : RAIS wa Rwanda Paul Kagame amesema amekubaliana na serikali ya Marekani ya kusitisha mapigano mashariki mwa Jamhuri ya…

Soma Zaidi »

Netanyahu kukutana na Trump wiki ijayo

MAREKANI : WAZIRIMKUU wa Israel Benjamin Netanyahu atakutana na Rais wa Marekani Donald Trump katika Ikulu ya White House wiki…

Soma Zaidi »

ECOWAS yatangaza muundo mpya wa majadilino kwa nchi zilizojiondoa.

NIGERIA : MAKAO MAKUU ya kiutawala ya Kamisheni ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) yameanzisha muundo…

Soma Zaidi »

Putin agoma kufanya mazungumzo na Zelensky

URUSI : RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, amesema nchi yake iko tayari kufanya mazungumzo ya amani na Ukraine, lakini amekataa…

Soma Zaidi »

Trump afungiwa kusitisha ufadhili wa serikali

MAREKANI : JARIBIO la Rais wa Marekani, Donald Trump, kufungia mamia ya mabilioni ya dola katika ufadhili wa serikali limezuiliwa…

Soma Zaidi »

WHO yasikitishwa kusitishwa kwa ufadhili wa HIV

MAREKANI: SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limeonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu athari za kusitishwa mara moja kwa ufadhili wa programu za…

Soma Zaidi »
Back to top button