Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali yachukua hatua kuongeza upatikanaji dhahabu GGR

WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema Serikali inatambua kuwa ili kiwanda cha kusafisha madini ya dhahabu cha Geita Gold Refinery…

Soma Zaidi »

Algeria, Nigeria, Niger kusafirisha gesi asilia Ulaya

ALGERIA : MAAFISA  kutoka nchi za Algeria, Nigeria na Niger wamesaini  mikataba mipya inayolenga kuharakisha uendelezaji wa bomba kubwa la…

Soma Zaidi »

Mbeya yakusanya bil 2.3/- madini

MKOA wa Mbeya umekusanya jumla ya Sh bilioni 2.3 sawa na asilimia 63 ya lengo la mwaka kati ya Julai…

Soma Zaidi »

Wananchi Ntunduwaro wanufaika na Makaa ya Mawe

UZALISHAJI wa madini ya makaa ya mawe katika kijiji cha Ntunduwaro kata ya Ruanda wilayani Mbinga ni chanzo kikubwa cha…

Soma Zaidi »

Mgodi wa Ndolela mwanga mpya kwa wananchi

MGODI wa Mawe wa Ndolela Quarry uliopo kijiji cha Ndolela jimbo la Isimani mkoani Iringa umeanza ujenzi wa Zahanati kwa…

Soma Zaidi »

Tanzania yakaribisha wawekezaji vituo vya kujaza gesi vijijini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, amesema Tanzania inakaribisha uwekezaji kutoka Uingereza kwa ajili ya ujenzi…

Soma Zaidi »

Ajenda ya nishati safi inavyoibeba Tanzania

JANUARI 27, mwaka huu macho ya mataifa yote ya Afrika yataelekea Tanzania wakati Mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa…

Soma Zaidi »

Iringa waenda Geita kujifunza sekta ya madini

GEITA; JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Mkoa wa Iringa imefanya ziara ya mafunzo wilayani Geita kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

Lambert Vissot: Vifaa vya kisasa muhimu uchimbaji madini

LAMBERT Vissot, maarufu kama “The Gem Hunter,” ambaye ni mtaalam mashuhuri katika uchimbaji madini ya vito amesema kinachowezesha mafaniko makubwa…

Soma Zaidi »

Mtaalamu Lambert Vissot aeleza mafaniko uchimbaji madini

MTAALAMU wa uchimbaji madini kutoka Kampuni ya Madini ya Vito Ruby International Limited, Lambert Vissot amesema kwa miaka ya hivi…

Soma Zaidi »
Back to top button