Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali kujenga Akademi za Michezo kikanda

DODOMA; SERIKALI imesema inaendelea na ujenzi wa Akademia ya Michezo yenye hadhi ya kimataifa Malya, wilayani Kwimba Mkoa wa Mwanza…

Soma Zaidi »

Nyota 30 waitwa Twiga Stars maandalizi WAFCON

KIKOSI cha awali cha wachezaji 30 wa timu ya taifa ya wanawake kwa ajili ya fainali za Kombe la Mataifa…

Soma Zaidi »

Simba kapoteza tena huko

TUNISIA; MAUMIVU kwa mashabiki wa Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika yanaendelea msimu huu wa mwaka 2025/25, baada ya leo…

Soma Zaidi »

Nyota Yanga wamkosha Pedro

DAR ES SALAAM: KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amekoshwa na kiwango kilichooneshwa na wachezaji wake akisema wataendelea kupambana kushinda…

Soma Zaidi »

‘Simba tumpe ushirikiano Kibabage’

DAR ES SALAAM: MSEMAJI wa Klabu ya Simba SC, Ahmed Ally, amewaomba mashabiki wa klabu hiyo kumpokea na kumpa ushirikiano…

Soma Zaidi »

Naibu Meya Kigamboni afagilia vipaji masumbwi

DAR ES SALAAM; NAIBU Meya wa Manispaa ya Kigamboni, Elizabeth Kimambo amefurahishwa na wadau walioandaa mapambano ya ngumi na kusema…

Soma Zaidi »

Simba wanapitia magumu nyie!

DAR ES SALAAM; SARE ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo wa Ligi Kuu Tanzania jana Janauri 18, 2026,…

Soma Zaidi »

Salamu za Samia zatua kwa Rais wa CAF

MOROCCO; Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul  Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika…

Soma Zaidi »

Makonda awasili Morocco

MOROCCO; Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amewasili nchini Morocco kwa ziara maalumU ya kikazi akiwa na…

Soma Zaidi »

Dk. Mwinyi Azindua Uwanja wa Gombani

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepata…

Soma Zaidi »
Back to top button