Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mbeumo mchezaji bora EPL Oktoba

KIUNGO mshambuliaji wa miamba ya soka, Manchester United, Bryan Mbeumo ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Ligi ya Kuu England…

Soma Zaidi »

Ligi ya vijana Arumeru kuendelea kesho

ARUSHA: Mashindano ya Ligi ya Vijana wenye umri chini ya miaka 13 yanatarajiwa kuendelea kesho Novemba 8 kwa michezo minne…

Soma Zaidi »

Gabriel Jesus amerejea!

LONDON: MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gabriel Jesus, amerejea mazoezini baada ya kukosekana uwanjani kwa miezi 10 kutokana na majeraha aliyoyapata mwezi…

Soma Zaidi »

Kelvin John aitwa Taifa Stars

KOCHA Mkuu mpya wa timu ya Taifa (Taifa Stars) Miguel Gamondi ameita kikosi cha wachezaji 23 kitakachoingia kambini kwa ajili…

Soma Zaidi »

Yanga waikunia kichwa Mtibwa Sugar

DAR ES SALAAM:  KOCHA Msaidizi wa Yanga, Patrick Mabedi, amesema mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar utakuwa mgumu na kuwataka…

Soma Zaidi »

Mtanzania ang’ara kuogelea baharini Kenya

NAIROBI: LOLITA Borega ameibuka gumzo baada ya kung’ara katika mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming Championship yaliyofanyika…

Soma Zaidi »

Barnabasi: Maisha Bila Watu Hayana Thamani

DAR ES SALAAM:MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Barnabas Elias, amesema kuwa watu ndio kitu cha msingi zaidi katika dunia…

Soma Zaidi »

Mwanamuziki raia wa mali kuongoza Sauti za Busara 2026

DAR ES SALAAM: Mwanamuziki kutoka nchini Mali, Salif Keita, anatarajiwa kutumbuiza katika toleo la 23 la Tamasha la Sauti za…

Soma Zaidi »

Mnyama kumaliza kazi kwa Mkapa leo

DAR ES SALAAM: Klabu ya Simba SC inaingia dimbani kwenye mchezo wa marudiano wa kufuzu makundi Ligi ya Mabingwa Afrika…

Soma Zaidi »

Hiki ni kiumbe au AI?

DAR ES SALAAM: Huyu jamaa ni binadamu kweli? au AI! Unaambiwa hadi sasa Cristiano Ronaldo amefikisha mabao 950 katika maisha…

Soma Zaidi »
Back to top button