Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Yanga wafagiliwa matokeo ugenini

ALGERIA; KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Concalves ame furahishwa na kiwango kilichooneshwa na kikosi chake kwenye mchezo wa Ligi ya…

Soma Zaidi »

Mwenyekiti Azam bosi mpya Ligi Kuu

DAR ES SALAAM; MWENYEKITI wa klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam, Nassoro Idrissa Mohamed amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya…

Soma Zaidi »

Japan yakwamisha ndoto za Tanzania futsal

UFILIPINO; TIMU ya taifa ya wanawake ya mchezo wa Futsal ya Tanzania, imeaga michuano ya kombe la dunia baada ya…

Soma Zaidi »

Mwinjuma: “Ladies First” vipaji vipya vitaibuliwa

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amesema kuwa, Serikali ina matumaini makubwa kuwa vipaji vipya vitaibuliwa…

Soma Zaidi »

Azam FC hesabu bado hazijakubali

ZANZIBAR; WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano Kombe  la Shirikisho Afrika, timu ya Azam FC, imekubali kipigo cha bao 0-1 kwa…

Soma Zaidi »

Yanga yawatuliza Waarabu kwao

ALGERIA; MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A kati ya JS Kabyllie ya Algeria na Yanga ya Dar es…

Soma Zaidi »

Transit Camp yaibana Polisi nyumbani

KILIMANJARO: MBIO za kuwania nafasi ya kupanda Ligi Kuu zimeendelea kushika kasi ambapo timu ya Transit Camp imegawana pointi moja…

Soma Zaidi »

Mtanzania achomoza ufungaji bora Ufilipino

UFILIPINO; MCHEZAJI wa Tanzania Mary Siyame, yupo kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kiatu cha dhahabu katika fainali za Kombe la Dunia…

Soma Zaidi »

Kocha awapa 5 Watanzania kung’ara Kombe la Dunia

UFILIPINO; KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania ya mchezo wa Futsal, Curtis Reid,  amewapongeza wachezaji wake…

Soma Zaidi »

Obby Alpha: “Dunia Bila Watu Haina Ladha”

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili nchini, Obby Alpha, amesema kuwa hata mtu akiwa na utajiri au mali nyingi, dunia inaweza…

Soma Zaidi »
Back to top button