Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Yanga yatota Malawi

MALAWI; Yanga ya Dar es Salaam imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Silver Strikers ya Malawi katika mchezo wa…

Soma Zaidi »

MAGDALENA SHAURI: Aliyeweka rekodi mpya ya Taifa

MAGDALENA Shauri ni mmoja wa wanariadha wa Kimataifa wa kike wanaofanya vizuri katika mashindano ya kitaifa na kimataifa. Amefanya maandalizi…

Soma Zaidi »

Tusipoamka tutaendelea kushangilia mafanikio ya kina Pacome

TUTAENDELEA kumshangilia Pacome Zouzoua akiwa sehemu ya kikosi cha Ivory Coast kilichofuzu tena fainali za Kombe la Dunia, tangu mwaka…

Soma Zaidi »

Uongozi RT una mengi ya kufanya

MCHEZO wa riadha ni moja ya michezo inayofanya vizuri sana kuliko mchezo wowote katika nyanja ya kimataifa hapa nchini. Wengi…

Soma Zaidi »

Beatrice Alex ang’ara Miss Grand International

MWAKILISHI  wa Tanzania katika mashindano ya Miss Grand International yanayoendelea kufanyika nchini Thailand, Miss Beatrice Alex, ameendelea kuipeperusha vyema bendera…

Soma Zaidi »

‘Mwana FA’ awaita mashabiki “Road to BAL’

DAR ES SALAAM:NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA), amewataka mashabiki wa michezo nchini kujitokeza…

Soma Zaidi »

Agness Kahamba ‘Aggybaby’ mwigizaji bora wa kike Tanzania 2025

DAR ES SALAAM: Msanii wa Muziki na Maigizo, Agness Suleiman Kahamba maarufu kama ‘Aggybaby’ amepokea Tuzo ya Mwigizaji Bora wa…

Soma Zaidi »

Vijana wahimizwa michezo, utunzaji mazingira

KISARAWE: VIJANA wa Shule ya Sekondari Minaki iliyopo jijini Dar es Salaam, wamehimizwa kushiriki michezo lakini pia kuzingatia upandaji miti…

Soma Zaidi »

Azam FC yajipanga dhidi ya KMKM

KUELEKEA mchezo muhimu wa Kombe la Shirikisho Afrika, klabu ya Azam imerejea katika mazoezi makali huku ikitamba kuwa iko tayari…

Soma Zaidi »

Stars ilivyotota kwa Zambia

ZANZIBAR; Matukio mbalimbali mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026 kati ya Tanzania ‘Taifa Stars’ na Zambia ‘Chipolopolo’…

Soma Zaidi »
Back to top button