Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Ciara,Diamond Platnumz wazindua ‘Low’”

MAREKANI : MSANII wa kimataifa kutoka Marekani, Ciara, ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoitwa ‘Low’, aliomshirikisha mkali wa Bongo Fleva,…

Soma Zaidi »

Saka nje wiki nne

ENGLAND: Mshambuliaji wa Arsenal, Bukayo Saka atakosa michezo minne ambayo itapigwa ndani ya wiki nne baada ya kumia Jumamosi iliyopita…

Soma Zaidi »

Jux,Priscilla wamkaribisha mtoto Rakeem

MTANDAONI : MSANII maarufu wa Bongo Fleva, Juma Mkambala ‘Jux’, na mkewe Priscilla, wamepata baraka ya mtoto wao wa kwanza…

Soma Zaidi »

Wachekeshaji waipamba ‘sendoff’ mtarajiwa wa Eliud

DAR ES SALAAM: Wasanii wa vichekesho maarufu nchini waliitikisa Jiji baada ya kuhudhuria kwa kishindo shughuli ya sendoff ya mchumba…

Soma Zaidi »

SHIMIWI; Miaka 39 ya kutimua vumbi

MASHINDANO ya 39 ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) mwaka huu inafanyika kuanzia Septemba Mosi…

Soma Zaidi »

Mtoko wa Yanga ni kesho

DAR ES SALAAM: KLABU ya Yanga imetangaza kuzindua jezi rasmi zitakazotumika kwenye michezo ya Ligi Kuu msimu wa 2025/26. Uzinduzi…

Soma Zaidi »

Uongozi mpya SRT urejeshe mafanikio ya riadha nchini

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (SRT) hivi karibuni lilifanya uchaguzi wake mkuu jijini Mwanza na kupata viongozi wake wapya watakaoongoza kwa…

Soma Zaidi »

Mipango inasukwa TFF

DAR ES SALAAM; Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia leo Agosti 22, 2025, ameongoza kikao…

Soma Zaidi »

Tamasha la Taarabu kufanyika Agosti 28

DAR ES SALAAM: MSEMAJI wa muziki wa taarabu utakaoshirikisha mastaa na wakongwe wa muziki huo nchini, utakaofanyika Agosti 28 mwaka…

Soma Zaidi »

Nsekela kujenga mshikamano wa michezo Kyerwa

KAGERA: Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa amezindua rasmi uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu ujulikanao kama…

Soma Zaidi »
Back to top button