Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

SHIMIWI; Miaka 39 ya kutimua vumbi

MASHINDANO ya 39 ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) mwaka huu inafanyika kuanzia Septemba Mosi…

Soma Zaidi »

Mtoko wa Yanga ni kesho

DAR ES SALAAM: KLABU ya Yanga imetangaza kuzindua jezi rasmi zitakazotumika kwenye michezo ya Ligi Kuu msimu wa 2025/26. Uzinduzi…

Soma Zaidi »

Uongozi mpya SRT urejeshe mafanikio ya riadha nchini

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (SRT) hivi karibuni lilifanya uchaguzi wake mkuu jijini Mwanza na kupata viongozi wake wapya watakaoongoza kwa…

Soma Zaidi »

Mipango inasukwa TFF

DAR ES SALAAM; Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia leo Agosti 22, 2025, ameongoza kikao…

Soma Zaidi »

Tamasha la Taarabu kufanyika Agosti 28

DAR ES SALAAM: MSEMAJI wa muziki wa taarabu utakaoshirikisha mastaa na wakongwe wa muziki huo nchini, utakaofanyika Agosti 28 mwaka…

Soma Zaidi »

Nsekela kujenga mshikamano wa michezo Kyerwa

KAGERA: Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa amezindua rasmi uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu ujulikanao kama…

Soma Zaidi »

Nandy ampongeza Yammi kwa EP mpya “After All”

DAR-ES-SALAAM : MSANII wa Bongo Fleva Yusura Yasin ‘Yammi’ ameachia rasmi EP yake mpya iitwayo After All, leo Agosti 22,…

Soma Zaidi »

Twendeni uwanjani tuwape  nguvu Stars

DAR ES SALAAM; LEO Ijumaa Agosti 22, 2025 kuanzia saa 2:00 usiku , timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Satrs’…

Soma Zaidi »

Simba, Yanga kupigwa Septemba 16

DAR ES SALAAM: Mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) ya kuizindua msimu mpya wa Ligi Kuu kati ya Young…

Soma Zaidi »

Mipango yaanza urithi wa riadha kwa vijana

ARUSHA: RAIS wa Shirikisho la Riadha Tanzania (SRT) Rogath Stephen amesema safari ya kuendeleza mchezo wa riadha ndio imeanza kwani…

Soma Zaidi »
Back to top button