Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

CTIDO mabingwa wa ligi wilaya Arusha

ARUSHA: TIMU ya CTIDO imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi ya Wilaya ya Arusha baada ya kuisambaratisha timu ya Uhasibu Academy…

Soma Zaidi »

Mvutano wa Kariakoo Derby wazua mabadiliko makubwa TPLB

DAR ES SALAAM — Katika kile kinachoonekana kuwa ni matokeo ya mvutano mkali kuhusu upangaji wa mechi ya Kariakoo Derby,…

Soma Zaidi »

Arusha mguu sawa UMISSETA Taifa

ARUSHA: MKOA wa Arusha umekamilisha maandaalizi yake kwa ajili ya mashindano ya kitaifa ya Umoja michezo kwa shule za Sekondari…

Soma Zaidi »

Kriketi wanawake watinga nusu fainali Kwibuka

TIMU ya taifa ya wanawake ya kriketi ya Tanzania imetinga nusu fainali katika mashindano ya Kwibuka nchini Rwanda kwa ushindi…

Soma Zaidi »

Dabi ya Kariakoo yagusa wabunge

DAR ES SALAAM; MCHEZO wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba uliopangwa kufanyika wikiendi hii Uwanja wa…

Soma Zaidi »

Serikali: Tumejipanga Stars kung’ara Afcon 2027

DODOMA; Serikali imesema imejipanga kuhakikisha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ haishiriki tu, bali inashindana kwa kiwango cha juu…

Soma Zaidi »

Serikali yatoa kauli dabi ya Kariakoo

DODOMA; LILE sakata la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba limechukua sura mpya, baada ya…

Soma Zaidi »

Geita wapigia mstari tamko la wazee Yanga

GEITA: UMOJA wa Matawi ya wanachama wa klabu ya Yanga mkoani Geita wamesema wanaunga mkono tamko la Baraza la Wazee…

Soma Zaidi »

Kombe la Mapung’o kuinua vipaji vya soka Geita

MDAU wa maendeleo mkoani Geita, Paschal Mapung’o amejitosa kudhamini mashindano ya mchezo wa soka katika kata ya Nyakagwe wilayani Geita…

Soma Zaidi »

Soka la ufukweni lajipanga mashindano CECAFA

DAR ES SALAAM: KOCHA wa timu ya taifa ya soka la ufukweni, Jaruph Rajabu, amesema maandalizi kuelekea mashindano ya Baraza…

Soma Zaidi »
Back to top button