Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Wanamichezo sita wapigana vikumbo urais TFF

DAR ES SALAAM; WANAMICHEZO sita wamejitokeza kuwania urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unaotarajiwa kufanyika Agosti 16,…

Soma Zaidi »

Dar Star bingwa Samia, soka bonanza

DAR ES SALAAM: TIMU ya soka ya Dar Star ya Ilala imeibuka mabingwa Bonanza maalum la kuwapongeza Rais Samia Suluhu…

Soma Zaidi »

Moto utawaka Yanga v Simba

DAR ES SALAAM; MWAMUZI Amin Mohamed Omar wa Misri aliyetangazwa kuchezesha mechi ya watani Yanga v Simba Jumatano wiki hii…

Soma Zaidi »

Waamuzi Yanga v Simba wanatoka Misri

DAR ES SALAAM; MWAMUZI Amin Mohamed Omar kutoka nchini Misri atasimamia sheria zote za soka katika pambano la watani wa…

Soma Zaidi »

Taasisi yafanikisba bonanza ‘Asante Mama Super Cu’

DAR ES SALAAM: TAASISI ya KIK Football Foundation kwa kushirikiana na mdhamini mkuu State Group Holdings Ltd wamefanikisha Bonanza la…

Soma Zaidi »

Mgombea urais TFF aomba uchaguzi usimamishwe

DAR ES SALAAM; MGOMBEA urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Shija Richard anatarajia kuwasilisha barua rasmi Baraza…

Soma Zaidi »

Ufunguzi CHAN kufanyika Dar

UFUNGUZI wa mashindano ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2025 utafanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Shirikisho…

Soma Zaidi »

“Uchaguzi Mkuu uwape kipaumbele wanaothamini michezo”

IRINGA: Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga, amewataka Watanzania kuhakikisha uchaguzi mkuu ujao wa Oktoba 2025 unazaa…

Soma Zaidi »

Yanga, Simba ng’adu kwa ng’adu kileleni

MBEYA:  MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2025/26 kati ya Yanga na Simba zinazidi kunoga…

Soma Zaidi »

Watanzania waalikwa mbio za Great Ruaha

IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba, amewataka wananchi wa Iringa na Watanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kujiandikisha…

Soma Zaidi »
Back to top button