Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Vodacom yaipiga jeki ‘Twende Butiama’ kuboresha huduma za jamii

ARUSHA: Kampuni ya mawasiliano nchini, Vodacom Tanzania PLC, imetangaza udhamini wake kwa mbio za baiskeli ‘Twende Butiama 2o25’ kwa leno…

Soma Zaidi »

Simba – Tunataka ubingwa Afrika

Ahmed amesema siku ya mchezo, ambayo itaangukia Pasaka, milango ya uwanja itakuwa wazi kuanzia saa 5 asubuhi

Soma Zaidi »

Katy Perry na wanawake wengine wasafiri angani

MAREKANI : MWANAMUZIKI wa Pop, Katy Perry, pamoja na wanawake watano wamesafiri angani kwenye chombo cha utalii, New Shepard, kinachomilikiwa…

Soma Zaidi »

TACA yajipanga kuibua vipaji

CHAMA cha Makocha wa Riadha Tanzania (TACA) kimeandaa kozi ya awali kwa walimu wa mchezo huo itakayofanyika kuanzia Aprili 22-…

Soma Zaidi »

Kriketi mguu mmoja Kombe la Dunia

DAR ES SALAAM: TIMU ya Taifa ya Kriketi kwa vijana chini ya umri wa miaka 19 inazidi kung’ara katika michuano…

Soma Zaidi »

Wacheza gofu zaidi ya 120 kuchuana kesho

DAR ES SALAAM: WACHEZAJI zaidi ya 120 wanatarajia kuchuana kesho katika shindano la siku moja litakalohusisha klabu tatu za Dar…

Soma Zaidi »

Mbio za kusaka mil 10/- za Vunjabei Cup zakolea Iringa

Vunjabei Cup 2025 imevunja historia mkoani Iringa kwa kuweka zawadi kubwa ya Sh milioni 10 kwa mshindi wa kwanza, ikiwasha…

Soma Zaidi »

Mangungu: Tutalipa kisasi kwa mkapa

MISRI:MWENYEKITI klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amesema timu yake inarejea nyumbani ikiwa na matumaini makubwa ya kulipiza kisasi dhidi ya…

Soma Zaidi »

Simba yapoteza Misri

MISRI; SIMBA imekubali kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Al Masry ya nchini Misri katika mchezo wa robo fainali ya…

Soma Zaidi »

Yanga, Tabora mwisho wa ubishi leo

LIGI Kuu Tanzania Bara inarejea leo kwa mchezo mmoja, Tabora United wakiikaribisha Yanga Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora. Katika…

Soma Zaidi »
Back to top button