Bunge

Kuna ongezeko kubwa la unene

DODOMA; Serikali imesema kumekuwa na ongezeko la hali ya unene na unene uliokithiri. Kauli hiyo imetolewa bungeni mjini Dodoma leo…

Soma Zaidi »

Vituo 73 vyasajiliwa huduma kuchuja damu

DODOMA; SERIKALI imesema hadi kufikia mwezi Machi 2025 jumla ya vituo 73 vimesajiliwa kutoa huduma ya kuchuja damu katika mikoa…

Soma Zaidi »

Asilimia 15 Watanzania wanaishi na vinasaba selimundu

DODOMA; SERIKALI imesema Tanzania ni miongoni mwa nchi tano duniani zinazoongoza kwa idadi kubwa ya ugonjwa wa selimundu, ambapo asilimia…

Soma Zaidi »

Wizara ya Afya yaja na vipaumbele 10

WIZARA ya Afya imeainisha Vipaumbele kumi (10) vitakavyotekelezwa kwa mwaka 2025/26 , Bunge limeelezwa. Akiwasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya…

Soma Zaidi »

Mbunge ahoji wananchi kulipia Daraja la Nyerere

DODOMA; MBUNGE wa Muleba Kusini, Oscar Ishengoma amehoji bungeni sababu za watumiaji wa Daraja la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kulipia…

Soma Zaidi »

Je, nini kitatokea kwa NGOs bila msaada wa Marekani?

DODOMA – Serikali imetakiwa kufanya tathmini ya hali ya kifedha ya Asasi za Kiraia (NGOs) kufuatia kufutwa kwa misaada kutoka…

Soma Zaidi »

Kapinga: Serikali imetoa ruzuku mitungi 452,445

DODOMA: Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema serikali imetoa ruzuku ya asilimia 20 hadi 50 kwenye mitungi ya gesi…

Soma Zaidi »

Lugangira: Tunahitaji ulinzi wa mbegu za asili

DODOMA: MBUNGE wa Viti Maalum, Neema Lugangira ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Kilimo kwa hatua ya kutambua mbegu za asili…

Soma Zaidi »

Bunge lapitisha Sh Trilioni 1.24 za Wizara ya Kilimo

DODOMA: BUNGE limeidhinisha jumla ya Sh 1 242, 975,000( Trilioni 1.242) kwa ajili ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka wa…

Soma Zaidi »

Sababu wenye Diploma kutoswa ajira za Watendaji Vijiji

DODOMA: NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Festo Dugange ameeleza kuwa ajira za Watendaji wa Vijiji katika Utumishi wa Umma…

Soma Zaidi »
Back to top button