Diplomasia

Tanzania, Austria kuimarisha elimu, utalii

SERIKALI ya Tanzania pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Austria zimekubaliana kuimarisha sekta za elimu ya ufundi pamoja na utalii.…

Soma Zaidi »

Rais Samia aipatia Zambia hekta 20

ZAMBIA; Lusaka. RAIS Samia Suluhu Hassan ameipatia zawadi nchi ya Zambia ya hekta 20 katika eneo la Kwala mkoani Pwani,…

Soma Zaidi »

Rais Samia kuhutubia bunge Zambia

RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kulihutubia Bunge la Zambia kuhusu misingi ya uhusiano wa Tanzania na taifa hilo.…

Soma Zaidi »

Balozi Mbarouk aomboleza ubalozi wa Finland

DAR ES SALAAM; Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk, amesaini kitabu…

Soma Zaidi »

Rais Samia, Hichilema wawakumbuka mashujaa Zambia

ZAMBIA; Lusaka. RAIS Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, wameongoza mamia ya wananchi wa Zambia katika…

Soma Zaidi »

Samia kuhutubia miaka 59 Uhuru wa Zambia

DAR ES SALAAM: Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 59 ya Uhuru…

Soma Zaidi »

Tanzania, Marekani kushirikiana kibiashara

DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Tanzania na Marekani zimeingia makubaliano ya majadiliano ya kibiashara yatakayosaidia upatikanaji wa masoko ya bidhaa.…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara China kuwekeza Kigoma

SERIKALI ya China imesema kuwa inaangalia fursa za uwekezaji kwenye nyanja ya kilimo na viwanda iliyopo mkoani Kigoma ili kuwezesha…

Soma Zaidi »

Putin awasili China

CHINA: Nanjing. RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amewasili China kukutana na rafiki yake Rais Xi Jinping katika kuimarisha uhusiano wao…

Soma Zaidi »

Makamba awasili Algeria kushiriki mkutano wa 20 wa Mawaziri

ALGERIA: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba, amewasili nchini Algeria kushiriki Mkutano wa 20…

Soma Zaidi »
Back to top button